Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Yaani makubwa haya kama hujui kuna mengi ya ajabu sana kwenye hii dunia.
Kuna wakati unashangaa Lakini ndio ukweli wenyewe. Binadamu ana namna mbalimbali za kujippatia Riziki.
Utakuta vishoka. Hii ya vishoka mahakamani inatia woga. Wakati wewe unahangaika kutafuta Riziki kkwa njia zako wapo wanaoshinda mahakamani kusubiri wenye kesi walioshitakiwa, na wanaoshitaki. Kikubwa kwao ni kukusaidia kufanikisha jambo lako lier halali au haramu. Kikubwa wao waingize Chochote kitu.
Nilifanya juu chini nikaona wapo lawyer wanahakikisha kesi haiishi Ili wapate 30,000 ya nauli kila unapomhitaji. Kusimamia kesi ni jambo lingine.
Siwazuilii wanaojua mambo ya Sheria kunirekebisha lakini Kuna mengi.
Mahakamani Kuna makampuni yanafanyakaz za kumtafuta mshtakiwa au mshtaki. Inafika wakati MTU amekushtaki halafu hafiki, kampuni maalum inakutafuta, na mtafutiwaji analipa.
Wapo wengine wanakushtaki, Ili waendelee kupata pesa wanafanya kukusumbua kwenda,kirudi mahakamani Ili mradi anaamini atakuja kupata pesa wakati flan
Kuna wakati unashangaa Lakini ndio ukweli wenyewe. Binadamu ana namna mbalimbali za kujippatia Riziki.
Utakuta vishoka. Hii ya vishoka mahakamani inatia woga. Wakati wewe unahangaika kutafuta Riziki kkwa njia zako wapo wanaoshinda mahakamani kusubiri wenye kesi walioshitakiwa, na wanaoshitaki. Kikubwa kwao ni kukusaidia kufanikisha jambo lako lier halali au haramu. Kikubwa wao waingize Chochote kitu.
Nilifanya juu chini nikaona wapo lawyer wanahakikisha kesi haiishi Ili wapate 30,000 ya nauli kila unapomhitaji. Kusimamia kesi ni jambo lingine.
Siwazuilii wanaojua mambo ya Sheria kunirekebisha lakini Kuna mengi.
Mahakamani Kuna makampuni yanafanyakaz za kumtafuta mshtakiwa au mshtaki. Inafika wakati MTU amekushtaki halafu hafiki, kampuni maalum inakutafuta, na mtafutiwaji analipa.
Wapo wengine wanakushtaki, Ili waendelee kupata pesa wanafanya kukusumbua kwenda,kirudi mahakamani Ili mradi anaamini atakuja kupata pesa wakati flan