Ila sio siri, Harris Kapiga wanakera!!

Ila sio siri, Harris Kapiga wanakera!!

Nafikiri huyu jamaa anaroho ya kukataliwa
 
ni huyu Machugu wa star tv na huyu kapiga wa clouds tv!
nakerekwa mno na tabia zao zifuatazo ambazo ambazo mi huwa naona hazina maana;

1. kujichekesha chekesha. muda wote wa habari wamekuwa ni wa kujilazimisha kuchekacheka na kutabasamu....huyu Kapiga ktk eneo hili ndo amezidi maana si kwa kuchekacheka vile,inazidi mpaka inakuwa kero.
2. vionjo vya kujitikisatikisa (gestures) kwa wingi. mara waangalie saa, mara warusherushe mikono, mara wapige salute.....inaboa kwakweli wakati mwingine.
3. kutoa maoni/kuongeza maneno baada ya habari. taarifa inaweza kuwa imewasilishwa vizuri tu na mhusika aliyopo field, lakini akishamaliza lazima wao watie vijineno vya hapa na pale wakati mwingine havina maana yoyote na vinapelekea kuondoa ladha iliyopatikana tayari.

waache/wapunguze bwana!

maoni yangu lakini, sina taaluma yoyote ile ya habari
Haya ndo matatizo ya kushikiwa remote na shemeji yako
 
Usikariri Mkuu, unataka Habari isomwe na Presenter awe Mkakamavu kama Askari wa Mkoloni?

Mbona Kikeke anatumia Sana Gestures na watu hawasemi!?

Mimi Binafsi napenda Usomaji wa habari wa Kapiga, haumbani, unaweza hata kujikuna kidogo kichwani huku unawasirisha habari.
 
ni huyu Machugu wa star tv na huyu kapiga wa clouds tv!
nakerekwa mno na tabia zao zifuatazo ambazo ambazo mi huwa naona hazina maana;

1. kujichekesha chekesha. muda wote wa habari wamekuwa ni wa kujilazimisha kuchekacheka na kutabasamu....huyu Kapiga ktk eneo hili ndo amezidi maana si kwa kuchekacheka vile,inazidi mpaka inakuwa kero.
2. vionjo vya kujitikisatikisa (gestures) kwa wingi. mara waangalie saa, mara warusherushe mikono, mara wapige salute.....inaboa kwakweli wakati mwingine.
3. kutoa maoni/kuongeza maneno baada ya habari. taarifa inaweza kuwa imewasilishwa vizuri tu na mhusika aliyopo field, lakini akishamaliza lazima wao watie vijineno vya hapa na pale wakati mwingine havina maana yoyote na vinapelekea kuondoa ladha iliyopatikana tayari.

waache/wapunguze bwana!

maoni yangu lakini, sina taaluma yoyote ile ya habari
Kama kuna kufanana mawazo basi tunafanana,, ananiboaa mpaka naonaga Aibu kuangalia habari zake
 
haya bwana, we unashikiwa na mume mwenzio (km ni me) lakini watu tumekausha tu!
mtoto wa Kiume unakuja kuanzisha uzi JF kuwasema wanaume wenzio wanakera,wakat ishu ni simple tu humpend achana nae badili channel......acha umama!!
 
mtoto wa Kiume unakuja kuanzisha uzi JF kuwasema wanaume wenzio wanakera,wakat ishu ni simple tu humpend achana nae badili channel......acha umama!!
mtoto wa kiume unachamba kama isha mashauzi!
 
Habari hizi tulisha zijadili hapa Jf miaka ya 2011
Wadau wali thibitisha kuwa huyu jamaa ni Diko
 
ni huyu Machugu wa star tv na huyu kapiga wa clouds tv!
nakerekwa mno na tabia zao zifuatazo ambazo ambazo mi huwa naona hazina maana;

1. kujichekesha chekesha. muda wote wa habari wamekuwa ni wa kujilazimisha kuchekacheka na kutabasamu....huyu Kapiga ktk eneo hili ndo amezidi maana si kwa kuchekacheka vile,inazidi mpaka inakuwa kero.
2. vionjo vya kujitikisatikisa (gestures) kwa wingi. mara waangalie saa, mara warusherushe mikono, mara wapige salute.....inaboa kwakweli wakati mwingine.
3. kutoa maoni/kuongeza maneno baada ya habari. taarifa inaweza kuwa imewasilishwa vizuri tu na mhusika aliyopo field, lakini akishamaliza lazima wao watie vijineno vya hapa na pale wakati mwingine havina maana yoyote na vinapelekea kuondoa ladha iliyopatikana tayari.

waache/wapunguze bwana!

maoni yangu lakini, sina taaluma yoyote ile ya habari
Kapiga ndo mashauzi classic huku duniani hatupendi Mambo hayo
 
Kwani umejiskiaje?,au natumia sana dole la kati kuchamba kuliko kiganja? samahani km nimekuumiza!!
poa mammy, isiwe kesi......umeshinda. fungulia tu hiyo taarabu hadi sauti ya mwisho kwa raha zako
 
Back
Top Bottom