zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Ndo faida za kusomesha watoto shule za gharamaUnajua kusimulia vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo faida za kusomesha watoto shule za gharamaUnajua kusimulia vizuri
Umeanza lini kutumia Public transport??Nimeshindwa kuvumilia akii tena..! Nitawasalimia tu hata kesho wapendwa wangu,
Leo bwana nimejitokea zangu huko duniani kwenye mihangaiko, nikafika zangu kituoni, nikasubiri daladala ya ninakoelekea, ikaja nikapanda,
Sasa tumepanda zetu kama watu kadhaa hivii, sina zangu hili wala lile, kulikuwa na seat mbili jirani kabisa na mlangoni pale, akatangulia mkaka akakaa, kisha nikafuatia mie nikakaa,
the next person kupanda akawa mdada, ila akafika pale pembeni yetu cha ajabu akasimama motionless for few seconds akanitazama kwa macho ya khasira halafu akaenda kukaa seat nyingine ya mbele yetu ipo upande wa dirishani..!
Sasa nikashindwaa, kwani this girl nimewahi ona wapi.? Ni nini mbaya naye.? Ni nini nimefanyiana naye mbona kanitazama kwa macho kama vile niliwahi patana naye sehemu.??
Nikawachana tu naye, nikachukua kisimu changu nikadumbukia JF, after a while nikaona yule mrembo akageuka then akawa ana discuss na huyo jamaa aliyeko jirani yangu kuwa washuke kituo gani..!!
Ndiyo nikaelewa, anhaaa' hawa watu kumbe wapo pamoja, nikajiambia tu huyu dada kwa lile jicho kanikata walaqhi' huyu pembeni yangu itakuwa ni kifaa yake, angekuwa brother ake asingeni maindi vile.!
Luckily, wakashuka zao baada ya vituo kadhaa, nikaona afadhali wapeleke ukuch kuch hotae wao huko mbele, (ain't jealous hata)..
Ila wadada hii wivu nyingine muwachane tu nayo, It's a public transport, ingawa ningejua they're together I swear nisinge interfere ningewapisha kabisa.!
I ain't even that mad though, Jioni njema kwenu.!
Labda sio kwa purukushani zile za Dar.....utapata wapi muda wa kuombana.Sasa alishindwa nini kukuomba tu kistaarabu akae na mtu wake kama siti zingine zilikua wazi!
Ana akili za kitoto, msamehe tu bure dadangu
Hahahaaa pole sana. Ila sasa kwanini wadada wanapitiliza kwenda kukaa nyuma?Labda sio kwa purukushani zile za Dar.....utapata wapi muda wa kuombana.
Ila mimi namwonea wivu huyo jamaa. Wadada mimi nikiwahi kwenye seat huwa wanapita wanaenda kukaa nyuma.
Kuna siku nimezuia wana na wazee kama watano kisa tu atokee mdada nikae nae...nikaambulia sifuri...
Nikaishia kumruhusu bibi na kumsaidia kupaka mjukuu wake aliyeishia kunikojolea.
Hivi ni kwanini?Kiasili mwanamke ni kiumbe mwenye roho mbaya sana hasa inapokuja ni kwa mwanamke mwenzake huzidi mara 70,hutaki unaacha!!!
That's it
Labda niwaulize nyie msiopenda kukaa nasi.Hahahaaa pole sana. Ila sasa kwanini wadada wanapitiliza kwenda kukaa nyuma?
Kwa mimi hua nakaa na yoyote, sina ubaguzi kabisa. Usafiri unavyokua wa shida half nirembe kuchagua seat kwa basi, hapana aiseeLabda niwaulize nyie msiopenda kukaa nasi.
Tena sisi wakaka tunaombaga seat zikose alafu ibakie option ya kupakatwa tu na ukute uko karibu yangu[emoji4]Kwa mimi hua nakaa na yoyote, sina ubaguzi kabisa. Usafiri unavyokua wa shida half nirembe kuchagua seat kwa basi, hapana aisee
Hongera.Kwa mimi hua nakaa na yoyote, sina ubaguzi kabisa. Usafiri unavyokua wa shida half nirembe kuchagua seat kwa basi, hapana aisee
Ili utoe suluhisho?nicheki pm
Yaan huyo mtu akubali tu kupakatwa na mtu hamjui mmhTena sisi wakaka tunaombaga seat zikose alafu ibakie option ya kupakatwa tu na ukute uko karibu yangu[emoji4]
Basi kwa ustaarabu ntasema njoo ukae mi nisimae au ntaacha usimame ili nikuchore shepu na urembo[emoji6]Yaan huyo mtu akubali tu kupakatwa na mtu hamjui mmh
Duh!is that Odama on the AvatarMbona PM mkuu.??