Ila sisi wadada jamani...

Pole mkuu.. agiza mirinda barrriidi halafu relax jF kama familia yako tunakusihi uwe mtulivu wakati tunatafakari cha kufanya juu ya wadada wenye tabia hii!
 
Umeanza lini kutumia Public transport??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Daaah nlikua mm af nlipanga kukuomba namba ya simu ....anyway nipe no ako..
 
Sasa alishindwa nini kukuomba tu kistaarabu akae na mtu wake kama siti zingine zilikua wazi!
Ana akili za kitoto, msamehe tu bure dadangu
Labda sio kwa purukushani zile za Dar.....utapata wapi muda wa kuombana.

Ila mimi namwonea wivu huyo jamaa. Wadada mimi nikiwahi kwenye seat huwa wanapita wanaenda kukaa nyuma.

Kuna siku nimezuia wana na wazee kama watano kisa tu atokee mdada nikae nae...nikaambulia sifuri...

Nikaishia kumruhusu bibi na kumsaidia kupaka mjukuu wake aliyeishia kunikojolea.
 
Hahahaaa pole sana. Ila sasa kwanini wadada wanapitiliza kwenda kukaa nyuma?
 
Kwa mimi hua nakaa na yoyote, sina ubaguzi kabisa. Usafiri unavyokua wa shida half nirembe kuchagua seat kwa basi, hapana aisee
Tena sisi wakaka tunaombaga seat zikose alafu ibakie option ya kupakatwa tu na ukute uko karibu yangu[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…