Ila sisi wadada jamani...

Duh!kazi unayo usipande public transport tena watakuloga uwe unatembea
Hahaha.!
Nitembee na milonjo na huku kwa mkoa wenu jua linakochoma kama injili.? Tell me you're joking..!
 
Pole. She's just a desperate cow. Sasa na safari wanaenda moja why did she have to have such a bad attitude?
 
Sasa alishindwa nini kukuomba tu kistaarabu akae na mtu wake kama siti zingine zilikua wazi!
Ana akili za kitoto, msamehe tu bure dadangu
Ahsante mdogo wangu, na kwanini aniombe kisafari cha dakika kadhaa tu? Bora hata ingekuwa safari ya bus na angepishwa kabisa.!
 
Sasa kwa mtindo huo itabidi akamate kifaa yake atie kwa bag then atembee nayo.!!
Mzigo unawekwa sehemu yoyote ilimradi uwe salama tu. Kwenye buti, kwenye siti au kwenye keria yote sawa
 
Pole. She's just a desperate cow. Sasa na safari wanaenda moja why did she have to have such a bad attitude?
I was surprised pia, labda hamuamini mtu wake kwa kiwango hicho.!!
I like that 'desperate cow' though.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…