Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hapo sasaBado asingeweza m- control, kwani wakishuka wataendelea kubanana hadi kwenye maisha.?
π π π π π πKuna siku nimepanda daladala Buguruni, basi nilipata siti ya kushikilia bomba juu, mahali niliposimama kwenye siti ya jirani alikuwa amekaa binti mmoja halafu kavaa kigauni kifupi halafu tupaja fulani hivi amazing, mjuba si nikawa namchungulia kimtindo , kumbe mjuba wake amekaa siti ya nyuma ananicheki navyomnyari demu wake, walivyofika Riverside wakashuka kwa madaha huku wameshikana mikono, nikaishia kuwasindikiza kwa macho.
Maisha hayaendi hivyo, Kwani hao mahanshamu anapatana nao tu kwa daladala.?? Si wapo everywhere.?Hata mimi mwanaume mfano ningekuta demu wangu kakaa na msela ningemchomoa kwa nguvu .....na mbaya zaidi nikute msela ni handsome kunizidi au ana status kunizidi ndo ningejaa sumu kinoma...mtu chake...
Huyu ni muigizaji wa Bongo movie mpendwa, sijamkaribia hata nukta halafu pia Mimi ni keusi kazuri, don't get twisted hizo ni avatars.!Kama kwenye hicho kipicha huyo ni wewe tafadhali kwa heshima na taadhima ninaomba ikukupendeza unipe nafasi moyoni mwako kwani toka kitambo nimekuwa nikiteseka sana nikionapo hiko kipicha.kwahiyo rangi nitakuwa hata sihitaji kuwasha taa nikuone
Kikubwa sitaki nione huyo hanshamu awe close na my wangu...Maisha hayaendi hivyo, Kwani hao mahanshamu anapatana nao tu kwa daladala.?? Si wapo everywhere.?
Ukiona hivo ujue wewe ni pisi kali umemzidi, labda aliogoa utamwibia CarleenNimeshindwa kuvumilia akii tena. Nitawasalimia tu hata kesho wapendwa wangu,
Leo bwana nimejitokea zangu huko duniani kwenye mihangaiko, nikafika zangu kituoni, nikasubiri daladala ya ninakoelekea, ikaja nikapanda,
Sasa tumepanda zetu kama watu kadhaa hivii, sina zangu hili wala lile, kulikuwa na seat mbili jirani kabisa na mlangoni pale, akatangulia mkaka akakaa, kisha nikafuatia mie nikakaa,
the next person kupanda akawa mdada, ila akafika pale pembeni yetu cha ajabu akasimama motionless for few seconds akanitazama kwa macho ya khasira halafu akaenda kukaa seat nyingine ya mbele yetu ipo upande wa dirishani.
Sasa nikashindwaa, kwani this girl nimewahi ona wapi.? Ni nini mbaya naye.? Ni nini nimefanyiana naye mbona kanitazama kwa macho kama vile niliwahi patana naye sehemu?
Nikawachana tu naye, nikachukua kisimu changu nikadumbukia JF, after a while nikaona yule mrembo akageuka then akawa ana discuss na huyo jamaa aliyeko jirani yangu kuwa washuke kituo gani.
Ndiyo nikaelewa, anhaaa' hawa watu kumbe wapo pamoja, nikajiambia tu huyu dada kwa lile jicho kanikata walaqhi' huyu pembeni yangu itakuwa ni kifaa yake, angekuwa brother ake asingeni maindi vile.
Luckily, wakashuka zao baada ya vituo kadhaa, nikaona afadhali wapeleke ukuch kuch hotae wao huko mbele, (ain't jealous hata)..
Ila wadada hii wivu nyingine muwachane tu nayo, It's a public transport, ingawa ningejua they're together I swear nisinge interfere ningewapisha kabisa.
I ain't even that mad though, Jioni njema kwenu.
No....nikikuta mtu analeta shobo kwa my wangu ni kichapo tu...sinaga simile...labda anizidi mbavu...Kuna kajimbo nimepita pahala nikaskia eti 'sponsor niachie my wangu, utaanza na wewe 'hanshamu niachie my wangu'..!
π π π π π πAhahahah. Wanaume sisi tuna akil sanaa walah πππ
Kwa kifupi hapo ni kwamba huyo Me ndio alitia mgomo kumfuata huyo dem wake wakakae pamoja.Inawezekan alipiga hesab akathaminisha mzigo aloketi nao siti moja akaona usinitanie ngoja nitulie hapa hpa ni test zari ,kuku wako manati ya nn, gf wake tayar wake tu .Anyway nadhan mleta mada atakuja na season 2 kuhusu nini kilitokea hapo "sitini" πππππ
Wame dukua account hii..π π π π π π
Huyu ni wewe?? Narudia tena kuuliza huyu ni wewe.????
πππ