Abuu hanifa
JF-Expert Member
- Aug 17, 2021
- 256
- 275
Nazumgumzia Resilience haihitaji uwe na vifaru au jeshi.Ulitaka awe na Jeshi uone ushujaa wakeπππ
Upo Sirius kweli ..
Kwa nini mkuu usiseme tu kuwa ni shujaa wako na kwetu wengine ni takataka toka kwa mabeberu.Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Mashujaa wa Tanzania ni wengi sana,lakini kuna namba 1,2,3,4....... mimi nawataja saba tuKwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima[emoji3][emoji3][emoji3] na bado akawa anaogopwa??[emoji3][emoji3]
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu [emoji3][emoji3]
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.
Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k
Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Dadavua huo mkopo unaozungumziaMataga wanaimba eti mwendakuzimu ameacha legasi ya kujenga Sgr na stiglers,
leo ndugai anasema nchi itauzwa KWA Deni kubwa zaidi ya tril 70
Serikali yoyote inaweza kopo ikajenga miundombinu hiyo siyo legasi
Like jamaa lilikuwa linakopa kizembe na kishamva sana,
Hela nyingi lilipeleka kujenga Kijijini kwao Ili pawe mkoa
Nadhani hata MWAMBA MBOWE, huyu jamaa atatajwa jina lake na vizazi na vizazi kwa miaka elfu kadhaa ijayo.Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kwahiyo dereva kafa auDereva angekufa uchunguzi usingefanyika?
Lissu hana mfano. Siku anashuka Airport tar 27 August nilijua mwisho wake umefika. Niliogopa sana. Lakini Yeye hakuogopa kabisa. Tulifunga na kusali siku ile.Kwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzimaπππ na bado akawa anaogopwa??ππ
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu ππ
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.
Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k
Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Kwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima[emoji3][emoji3][emoji3] na bado akawa anaogopwa??[emoji3][emoji3]
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu [emoji3][emoji3]
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.
Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k
Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Kwa sasa yuko wapi? Hivi ni nani alikimbilia ubalozini kuomba hifadhi na escort? Angekomaa tu baada ya uchaguzi, angestahili sìfa zote ulizompa.Kwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzimaπππ na bado akawa anaogopwa??ππ
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu ππ
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Magufuli muuaji atangulie mbinguni, kwenye mbingu ya nani hiyo, si atawachapa risasi malaika wote halafu Mungu apate tena kazi ya kumtupa jehanamu kama shetani.Aliye mpiga risasi lissu kashatangulia mbinguni ,aliyepigwa Bado anakula mema ya duniani
Kukimbia kwenye uwanja wa vita ni mbinu ya kujipanga kuendelea na vita zaidi unaweza ukakuta hata adui yako amedanja Mungu akawa amekupigania kilaiini pasipo hata kutumia risasi yako hata moja,kama alivyofanya Yesu aliyekimbilia misri mpaka adui yake aliyekuwa anatafuta kumumaliza alipodanja ndipo aliporudi na kuendelea na kazi yake aliyotumwa na Mungu.Mpiganaji hawezi kukimbia uwanja wa vita. Anamuachia nani sasa apigane iwapo yeye aliamua kuwa mstari wa mbele
Magufuli alikuwa kiongozi dhaifu sana. Kitendo cha kummiminia mpinzani wako risasi zote zile kilikuwa cha kanyama sana.Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Hivi Riz1 bin Vasco Dagama angepgwa risasi kama zile asingetibiwa na serikali ( bunge) nje ya nchi? Mbona kiongozi wa bunge alienda na wasaidizi wake India kutibiwa kwa garama za serikali ungonjwa wenyew wa kujitakia. KWELI PROF ASSAD ANASTAHILI HEKOKwema Wakuu!
Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.
Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzimaπππ na bado akawa anaogopwa??ππ
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;
1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu ππ
Jambo hili wengi hatuliwezi.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.
Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k
Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Lijamaa na lile bichwa lake linasikilizia tu adhabu ya kabuli. KudadekMagufuli alikuwa kiongozi dhaifu sana. Kitendo cha kummiminia mpinzani wako risasi zote zile kilikuwa cha kanyama sana.
Ila mungu wetu ni fundi... tukulipe nini baba kwa shujaa wako uliotutendea halo 17.3.2021??? Hakika wewe mungu ni fundi
ya heshimaππPhD ya nini Mkuu?
Tumesoma miujiza mingi kwenye Biblia na quran na mingine ya kuhadithiwa. Tumebahatika kushuhudia muujiza utakaosimuliwa kwa miaka 1000 mbele.Aisee!! Habari hizi tumeziona Kwa macho yetu wenyewe, zingine tulihadithiwa tungesema uongo lakini hizi tumeziona Kwa macho yetu wenyewe.
Hakika tunajivunia kuwa Zama hizi na kuyashuhudia mambo haya.
Mambo haya ingekuwa zamani yangewekwa kwenye misahafu na leo tungesoma katika mahekalu
Sio mbaya. Mboa Supika kaufyata? Hata kutype hawezi. Vipi Polepole na Gwaji? Kuw Keyboard warrior sio mchezo.ππππ
Wewe ni Nani Mkuu?
Usijekuwa Keyboard warrior ππ