GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Saa mbovu kuna wakati inasoma Sawa.Kwa Mpira mkubwa walioucheza Dar na leo Jorzy nina uhakika Msimu ujao wa Mashindani ya Kimataifa na Usajili wa Kiufundi na Kimkakati ukiendelea kufanywa nao nawaona kufika Fainali ya CAFCL na hata kuwa Mabingwa na Kutuumbua Wazee wa Robo Robo FC kama ambavyo baadae kidogo tunaishia tena tulikokuzoea Robo Robo daima.
Pumbafu wapotee tu na waganga wao, wangeshinda wangeendelea na ushetani waoKwa Mpira mkubwa walioucheza Dar na leo Jorzy nina uhakika Msimu ujao wa Mashindani ya Kimataifa na Usajili wa Kiufundi na Kimkakati ukiendelea kufanywa nao nawaona kufika Fainali ya CAFCL na hata kuwa Mabingwa na Kutuumbua Wazee wa Robo Robo FC kama ambavyo baadae kidogo tunaishia tena tulikokuzoea Robo Robo daima.
AaahaaaaTajiri kasema "Niseme Nisisemeee".
Misri Vipi huko?Pumbafu wapotee tu na waganga wao, wangeshinda wangeendelea na ushetani wao
Marehemu hata uji hanywi...aaah mgonjwaMisri Vipi huko?
Kwishaa.Marehemu hata uji hanywi...aaah mgonjwa
Wa misri wameenda kushangaa mapiramidi tuKwishaa.
Hahahahaha hivi na wewe ni uto ?Rufaa tu ndio itakayotupa heshima Wana jangwani
Poleeeeeh, imeisha hiyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rufaa tu ndio itakayotupa heshima Wana jangwani