VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Nilichojifunza hii michuano ina wenyewe. Kuna timu maalumu zimepewa haki ya kuchukua au kufika hatua za juu
1. Angalia hata upangaji wa droo ya nusu fainali, ni kama timu fulani zinazojiona kubwa zilipanga zikutane na nani. Dròo inakuwa kama geresha tu. Walofanya hivyo wakidhani watapata matokeo kwa urahisi
2. Ndani ya pichi matarajio yao yanapofeli wanatumia namna yoyote ile kuvuka hata kama kwa uporaji
1. Angalia hata upangaji wa droo ya nusu fainali, ni kama timu fulani zinazojiona kubwa zilipanga zikutane na nani. Dròo inakuwa kama geresha tu. Walofanya hivyo wakidhani watapata matokeo kwa urahisi
2. Ndani ya pichi matarajio yao yanapofeli wanatumia namna yoyote ile kuvuka hata kama kwa uporaji