VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Kwenye mpira rufaa kama hizi ni kupoteza muda. Ofcourse sisemi kuwa lilikuwa goli basi nataka tu kusema kiendacho kwa mganga.... Liwe goli lisiwe goli lakini makosa ya ki-uamuzi ni moja ya sehemu ya mpira wa miguu. Watu wamefunga magoli ya mkono na yakakubaliwa..Rufaa tu ndio itakayotupa heshima Wana jangwani
Mbona unataka kuvunja watu mbavu? Hujui kuwa ukiingia kwenye mashindano unatakiwa uwe tayari kukutana na yeyote? Tena hapa unaonyesha kukiri kuwa timu zetu ni dhaifu hivyo zikipzngiwa na hizo nyingine ni uonevuNilichojifunza hii michuano ina wenyewe. Kuna timu maalumu zimepewa haki ya kuchukua au kufika hatua za juu
1. Angalia hata upangaji wa droo ya nusu fainali, ni kama timu fulani zinazojiona kubwa zilipanga zikutane na nani. DrΓ²o inakuwa kama geresha tu. Walofanya hivyo wakidhani watapata matokeo kwa urahisi
2. Ndani ya pichi matarajio yao yanapofeli wanatumia namna yoyote ile kuvuka hata kama kwa uporaji
Yaani unatufananisha na CCM [emoji34][emoji34][emoji34]Yanga ni CCM ndio maana walisafirisha machawa na kuwalipia posho huku wakiacha mashabiki lialia, Kama walivyozoea kuiba kura walichopata halali yao.
Kametoka kuliwaPoleeeeeh, imeisha hiyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ka nani hako?Kametoka kuliwa
Hakuna laana yoyote bali hakukuwa na sababu za kupoteza Hela.Laana ya kuchukua Kodi zetu na kuwapa machawa waiter ongeza bia
π π π katoto kazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ka nani hako?
Wakati mungine huwa unaongea ukweli humumunyi maneno.Kwa Mpira mkubwa walioucheza Dar na leo Jorzy nina uhakika Msimu ujao wa Mashindani ya Kimataifa na Usajili wa Kiufundi na Kimkakati ukiendelea kufanywa nao nawaona kufika Fainali ya CAFCL na hata kuwa Mabingwa na Kutuumbua Wazee wa Robo Robo FC kama ambavyo baadae kidogo tunaishia tena tulikokuzoea Robo Robo daima.
πRobo Robo daima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]π π π katoto kazuri
Au sio, kametoka kuliwa kimasihara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana sio kimasikhara, ni planned kabisaaAu sio, kametoka kuliwa kimasihara
π π πnaona wivuHapana sio kimasikhara, ni planned kabisaa
Poleeehπ π πnaona wivu
Namimi naombaPoleeeh