Dauda alikuwa anakuwa .Kumbe mwamba asili yake ni Jamaican na Saint Kitts.
Hadi leo sijui Dauda alitoka wapi na zile habari na alifikiria nini kutumezesha matango pori๐
Mkuu pole sana pengine ulidanganwa wewe peke yako. Kwakweli kwa kipindi huyu dogo ndio anaanza mpira wake wachamee kama Shaffih ndio walikua wanaibukia wakalisha sana watu matango poriKumbe mwamba asili yake ni Jamaican na Saint Kitts.
Hadi leo sijui Dauda alitoka wapi na zile habari na alifikiria nini kutumezesha matango pori๐