Ila wakuu tuwe wakweli, maudhui mtandaoni yameharibika, yani ni makalio juu ya makalio kila kukicha. Matusi wazi wazi bila mafumbo

mimi ndo maana nimeamua kudelete kbs account za instgram na tiktok ni changamoto sana, na vijana wenzangu nawaasa bila kujitenga na hii mitandao hakika hakuna tutakapofika, hii mitandao ni kama mageti au milango ya ulevi na uzinzi, na dhambi zote, ndio nakili na nakubali kuwa kuna mafunzo mengi ila ni ngumu ku avoid haya ma uchafu
 
Umekula dogo?
 
Inasikitisha sana, content creator mambo wanayofanya daah, sijui jamii yetu tunaipeleka wapi yaani
 
Hii kitu imenifanya ku uninstall social media apps zote kwenye simu yangu kasoro JF ndo niliyobaki nayo
 
Na wewe umeliunga kwenye mnyororo huo huo kutokana na maudhui ya thread yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…