Ila wanaume ki ukweli wengi sio.( kwa wanawake tu)


Pole sana Smile,

Hawa binadamu bado tuko wa species nyingi...Pole sana kama umekutana na ile ambayo iko karibu sana na kule walikotoka mababu zetu!!!!
 
atawahudumia wote kweli? Halafu utakuta hana kazi au ana kipato cha chini kabisa
 
Lakini Canta mi sina hata wa kusingiziwa usihofu!

Dah!mshukuru mungu kwa hilo!kwan utakua umepunguza vizingiti,nackiaga huwa kuna kukumbukia na mzazi mwenzio unapopeleka matumizi ya mtoto lol!
 
dah, pole yake . hilo ni fundisho kwetu kwamba inatakiwa mtu uumchunguze sana kabla haujaamua kuwa nae as husband/wife
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…