Ila Watanzania bhana.....Nimecheka sana na sijui huwa mnawaza nini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Eti uende kwa P Diddy utoke bure? Umeshaona Timu ya nje inakuja kwa Mkapa na inatoka bila Kufungwa? Kwahiyo Nyumbani kwa P Diddy ni kama tu kwa Mkapa ukiingia lazima Uchapike na ikibidi hata Kuyaacha kwa Watoto wa Pwani hapa mmenielewa vyema tu najua.

Aliyetengeza hiyo Clip ni Mbunifu mno kwani hata kama una Stress zako ukiiangalia tu zitaisha kwa Kucheka.
 
Iko wapi hiyo clip?
 
naona anguko la daimond anaweza kujituliza na dawa na pombe kwa wingi...au akubali kuwa nawanasaikolojia na wamuzuie kusikia hayo mambo ya didi la sivyo itamlamba hii skendo... hivi ccm mtamtumia tena kwenye kampeni zenu...oil seal ishakata shanga....
 
Yaani hii skendo ya pididi ndo ifanye jamaa apotee??
Kua serious basi, hata kama ni hater wa jamaa ila hii skendo haiko serious kiivo zaidi ya utani mwingi.
 
Yani hii skendo ndogo ivi ndio imshushe mtu...Kuwa serious Braza ingekuwa na yeye anatuhumiwa akawekwa lupango sawa
 
Yaani hii skendo ya pididi ndo ifanye jamaa apotee??
Kua serious basi, hata kama ni hater wa jamaa ila hii skendo haiko serious kiivo zaidi ya utani mwingi.
Utani upo ndio, Lakini utani wa kutaniwa umeliwa kiboga sio utani mzuri kwa mwanaume yeyote mwenye akili timamu.

Mwanaume yeyote mtanie kote, ila maswala ya kutaniwa umeliwa kiboga. Hakuna anayetaka utani wa namna hii.

Hakuna mwanaume yeyote mwenye utimamu anafurahia utani wa namna hii ama ku uendekeza.

Utani wa namna hii unaweza kumfanya Mond awachukie watanzania sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…