Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Usimseme vibaya mtu kwa habari za kuambiwa isipo kuwa kwa habari za kujionea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo msanii na Mbunge wa mama wameukweka kwa pdiddy?Eti uende kwa P Diddy utoke bure? Umeshaona Timu ya nje inakuja kwa Mkapa na inatoka bila Kufungwa? Kwahiyo Nyumbani kwa P Diddy ni kama tu kwa Mkapa ukiingia lazima Uchapike na ikibidi hata Kuyaacha kwa Watoto wa Pwani hapa mmenielewa vyema tu najua.
Aliyetengeza hiyo Clip ni Mbunifu mno kwani hata kama una Stress zako ukiiangalia tu zitaisha kwa Kucheka.
Umeshaona msanii mwenye akili😎Utani upo ndio, Lakini utani wa kutaniwa umeliwa kiboga sio utani mzuri kwa mwanaume yeyote mwenye akili timamu.
Mwanaume yeyote mtanie kote, ila maswala ya kutaniwa umeliwa kiboga. Hakuna anayetaka utani wa namna hii.
Hakuna mwanaume yeyote mwenye utimamu anafurahia utani wa namna hii ama ku uendekeza.
Utani wa namna hii unaweza kumfanya Mond awachukie watanzania sana.
Mwamba hana marinda kwa sasaView attachment 3109119
Hiyo hapo. Bosi wake sinza pazuri alivyokuwa anaingia chumbani kwa diddy katika pozi.
Ku trend kwa ishu za kuliwa kiboga?Umeshaona msanii mwenye akili😎
Mwenzio anaona anatrend which is a big deal kwake
inasemekana ili upate tuzo ya gram lazima uyo bwana akupitie ila mond hajachukua iyo tuzo
Astaafirirah..View attachment 3109119
Hiyo hapo. Bosi wake sinza pazuri alivyokuwa anaingia chumbani kwa diddy katika pozi.
Upo sawa kwa upande fulani,ila ukae ukijua video za matendo machafu ya Pdidy zikianza kuvujishwa huo utani unaouongelea hautakuwepo,mambo pitiwa serious,wachunguzi wa mambo wanabaini kwamba kuna video zaidi ya 1000,na kibaya zaidi kuna watu siwezi kuwataja wanataka kuivunja na kuiangusha empire ya wanamuziki weusi kwa kutumia hii scandle ya P diddy,suala la kujua a inev hakupitiwa na Diddy na nani hakupitiwa ni mda utakaoongea pindi video zitakapo wekwa wazi,miamba mingi ya muziki na entertainment kwa ujumla itaanguka kwa kishindo kikubwa,huo utakuwa ni ushindi kwa watu hao wa upande wa pili,walianza na R Kelly sasa hivi Diddy na wengine wengi wapo wamenasa ndani ya mtego wa Diddy.Yaani hii skendo ya pididi ndo ifanye jamaa apotee??
Kua serious basi, hata kama ni hater wa jamaa ila hii skendo haiko serious kiivo Ani ya utani mwingi.
Hizo ni story za kufikirika na hamna kitu kama hicho..Upo sawa kwa upande fulani,ila ukae ukijua video za matendo machafu ya Pdidy zikianza kuvujishwa huo utani unaouongelea hautakuwepo,mambo pitiwa serious,wachunguzi wa mambo wanabaini kwamba kuna video zaidi ya 1000,na kibaya zaidi kuna watu siwezi kuwataja wanataka kuivunja na kuiangusha empire ya wanamuziki weusi kwa kutumia hii scandle ya P diddy,suala la kujua a inev hakupitiwa na Diddy na nani hakupitiwa ni mda utakaoongea pindi video zitakapo wekwa wazi,miamba mingi ya muziki na entertainment kwa ujumla itaanguka kwa kishindo kikubwa,huo utakuwa ni ushindi kwa watu hao wa upande wa pili,walianza na R Kelly sasa hivi Diddy na wengine wengi wapo wamenasa ndani ya mtego wa Diddy.
Mzee mondi hajaanza leo kuhusishwa na hizo mbanga na si ajabu kwake sio utani bali anafanya kweli.Utani upo ndio, Lakini utani wa kutaniwa umeliwa kiboga sio utani mzuri kwa mwanaume yeyote mwenye akili timamu.
Mwanaume yeyote mtanie kote, ila maswala ya kutaniwa umeliwa kiboga. Hakuna anayetaka utani wa namna hii.
Hakuna mwanaume yeyote mwenye utimamu anafurahia utani wa namna hii ama ku uendekeza.
Utani wa namna hii unaweza kumfanya Mond awachukie watanzania sana.
Duuh! Noma sanaMzee mondi hajaanza leo kuhusishwa na hizo mbanga na si ajabu kwake sio utani bali anafanya kweli.
Kuna yule model wake ni punga kabisaa na hadi kwenye party zake mapunga huwa ni wa kumwaga, sasa huyo mtu ni wa kumtania analiwa kiboga afu iathiri kazi zake??