lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Hebu fikiria Neymar Da Silva Santos Junior atakuwa analipwa 1.6 billion za kitanzania kwa wiki, zaidi ya million 220 za kitanzania kwa siku. Daaah shikamooni wazazi wote mliokuwa mnatukataza tusicheze mpira ili tukomae na vitabu vya kina Nyambari Nyangwine! Mwisho wa siku tunaishia kutumbuliwa tu....LIFE IS NOT FAIR
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app