magufuliforpresident
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 159
- 59
nakubaliana na ilani ya ccm...na mabadiliko yapo......kwa utawala wao toka uhuru ...kiwango cha elimu kimeongeeka...hata tukiangalia kwa sasa wasomi ni wengi saana....vyuo vikuu wanafika wengi sio kama zamani wanahesabika
msipende kulaumu watanzania..........mbona...hamtaji mazuri ya ccm.....nnauhakika hata wewe ccm imekutoa sehemu flani mpaka sehemu flani...tujaribu kufikiria pia...tusipende mikumbo haisaidii kituhii ni kwa ajili ya maisha yetu ya baadae....uchague kiongozi bora

msipende kulaumu watanzania..........mbona...hamtaji mazuri ya ccm.....nnauhakika hata wewe ccm imekutoa sehemu flani mpaka sehemu flani...tujaribu kufikiria pia...tusipende mikumbo haisaidii kituhii ni kwa ajili ya maisha yetu ya baadae....uchague kiongozi bora

