Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

KIFUNGU CHA 145 (g) kinasema "Kukamilisha mchakato wa kutunga Katiba mpya na kuanza
kuitekeleza kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba"
 
Mbona ni vipaumbele (ngonjera) vilevile kama ilivyokuwa kwa JK mwaka 2005 na kurudiwa 2010! Kweli tunaweza kufikiri nzee ya Kiwira ilikuwa inajiropokea pale Jangwani juzi, kumbe ndivyo watawala wa ccm wanavyotuaona wananchi kuwa ni 'wapumbavu na malofa'. Walikataa rasimu ya Katiba iliyokuwa iki-address masuala hayo yote kwa uhakika ili mgombea wa urais wao aje ayaorodheshe kuwa vipaumbele kwa mfumo wa ahadi hewa (kulaghaia kura)!
 
Mungu wangu,yale yale,pumbavuuuuuu hata mngeahd kila mwananch mtamnunulia Mel mwaka mtachambi jambia
Akili zako ni sawa na kuku,jiongeze acha kuongea ujinga ukweli huko wazi kwamba
JP Magufuli ndio kiongozi/Mgombea Mchapakazi,Muadilifu na Mfuatiliaji
 
Hakuna kitakacho fanyika chini ya ccm, ahadi ni zilezile tangu nchi ipate uhuru, maadui ni walewale ujinga umaskini na maradhi, tena maradhi mengine yamesabaishwa na ccm kama kipindupindu, watu wanakosa maji safi na salama matokeo yake wanahara hovyo tu, halafu mtu kutoka nyumba hiyohiyo anakuja sema atayamaliza na alikuwa sehemu ya serikali, upuuzi tu, magufuli aliuza nyumba kwa bei ya kutupa halafu wanakuja jenga nyingine kwa garama za kutisha ndio mtu makini aliebaki ccm? Sie malofa kwa sabab tumefanywa malofa na chama tawala, wao mamwinyi kwa sababu wamejifanyia hayo kwa kura tulizo wapa, sie wapumbavu kwa kuwaweka ikulu miaka 50 wakati kila muongo ahadi ni zilezile hazitekelezwi, leo magufuli aje na kipi kipya, walewale tu.
 
Hii kitu sielewi. Ukawa ilianzishwa ili kupigania mapendekezo ya Jaji Warioba ambayo yalibeba mapendekezo mengi ya wananchi. Bunge la Katiba maalum lililondwa kwa kiasi kikubwa na CCM ndilo lililopitisha Katiba pendekezwa. Bw. Lowassa alikuwa CCM na alishiriki kwa kiasi kikubwa kuweka kando maoni ya wananchi. Bahati nzuri kwake amehamia UKAWA na kupewa nafasi ya kugombea cheo kikubwa sana katika nchi hii. Hivi kwa akili ya kawaida tu, je huyu Bwana akipata hii kazi anayoitaka kwa udi na uvumba, atakuwa na mpango wa kufufua mapendekezo ya wananchi kupitia rasimu ya Warioba au ataipigia upatu Katiba pendekezwa!
 
Yale yale,nashangaa anayemnadi anasema pumbavu kwa watanzania,alafu wanayemnadi anasema ataheshimu mawazo ya kila mtu hata kama ni mpinzani sasa mbona sielewi ?
 
Mimi Nasema hivi.Mnielewe na nazidi kusema Hivi tena kwa herufi kubwa"SINA HAJA NA SERA YA CHAMA CHA SIASA NA SITASIKILIZA SERA YOYOTE,CCM KWANZA NJE OCT.2015 SERA BAADA YA HAPO."
 
Mimi Nasema hivi.Mnielewe na nazidi kusema Hivi tena kwa herufi kubwa"SINA HAJA NA SERA YA CHAMA CHA SIASA NA SITASIKILIZA SERA YOYOTE,CCM KWANZA NJE OCT.2015 SERA BAADA YA HAPO."

n kwel kabisa mkuu
 
Nimejiuliza hizi kodi za hovyohovyo zimewekwa na nani? Si ni wao wamekuwa wakiendesha nchi kwa zaidi ya miska 50?
Pia kwa nuni wasizitoe sasa? Kwa nini wasubiri huku wakijua ni za hovyohovyo? Kwa nini wasipige marufuku leo hizo kodi za hovyohovyo? Hii ni kuwakebehi watanzania!
 
Nimejiuliza hizi kodi za hovyohovyo zimewekwa na nani? Si ni wao wamekuwa wakiendesha nchi kwa zaidi ya miska 50?
Pia kwa nuni wasizitoe sasa? Kwa nini wasubiri huku wakijua ni za hovyohovyo? Kwa nini wasipige marufuku leo hizo kodi za hovyohovyo? Hii ni kuwakebehi watanzania!
 
magufuli ataweza kufanya haya kwa upana na malefu yake mwamini atatenda maajabu kwa kuwatumikia vema watanzania.
 
Nimejiuliza hizi kodi za hovyohovyo zimewekwa na nani? Si ni wao wamekuwa wakiendesha nchi kwa zaidi ya miska 50?
Pia kwa nuni wasizitoe sasa? Kwa nini wasubiri huku wakijua ni za hovyohovyo? Kwa nini wasipige marufuku leo hizo kodi za hovyohovyo? Hii ni kuwakebehi watanzania!

ukiwa mpumbavu shida sana kwani hujui kila jambo na wakati?
 
Wamezoea kuongea hovyohovyo hao! Ukiwauliza ni kodi gani hawataweza kujibu
 
Back
Top Bottom