magufuliforpresident
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 159
- 59
sio siri magufuli kachanganyikiwa.
anamchana JK na CCM live na hiyo ni sababu tosha ya kuikataa ccm kwakuwa mgombea wao amesadiki kuwa wanafanya mambo ya hovyohovyo.
HUU NDIO UKWELI HALISI ULIOPO KWA SASA HIVI,
**CCM TUMEWAZOEA NYIMBO NI ZILEZILE TU,
SERA NI ZILEZILE TU;-
*maji
*elimu
*mahospitalini
*kilimo
*madini yetu
*ajira
VYOTE HIVI VIMESHAHUBIRIWA KWA ZAIDI YA MIAKA 50!
WAKATI HUO VIKIWA VINAJULIKANA KAMA MAADUI ZETU!
GO! GO! AWAY CCM
ENOUGH IS ENOUGH!
**CHANGES IS A MUST**