Mzee wa mihemko rais annagiza na kuamua utadhani anaendesha familia yakeMatumizi mabaya ya fedha za umma. Nchi inaendeshwa kwa hulka za mtu mmoja si nzuri hii!
Hata familia huwezi kuendesha hivi mkuu.Mzee wa mihemko rais annagiza na kuamua utadhani anaendesha familia yake
Yah! Hata familia inaasi ikiwa na baba wa hivi japo Angalau anaweza kujitetea kwa kujitapa kua yeye ndie analipa ada, anawalisha, anawalisha nk....Hata familia huwezi kuendesha hivi mkuu.
Uwanja unawasaidia nini watu wa kawaida wasio wacheza mpira. Wakati mwingine Magufuli huwa anafurahisha sana kwenye speech yake. Tutakuwa proud kama huduma za afya zitakuwa nzuri na zinafikika kwa kila mtanzania, tungefurahi kama nchi ingekuwa ina Democracy ili haya tunayoyaandika yaweze kufanyiwa kazi siyo tunafuatiliwa na hao TISS, Tungefurahi kuona maisha ya kila mtanzania yanakuwa bora, kazi zinaongezeka na uchumi wetu unapanda. HIZI NDEGE HAZITUSAIDII SANA, Mashirika binafsi yanaweza kununua ndege na kufanya vizuri.Ahadi za kutoa mambo kichwani kutegemea na muonekano wa hadhira unataka kusikia nini?!! Hapo kuna nini? Ujinga wa waafrika wengi ndio mtaji wa wana siasa!! Na ni mchakato mrefu sana kuja kubadirisha fikra hizo, na ndio maana viongozi wanajua kuwa umasikini kwa wananchi ndio silaha tosha!!! Mtu akipewa hela ya kula leo tu, ya kesho anasema mungu atajua kwani alinileta kwa makusudi yake, hawezi acha nikafa!!! Hata uyazindue vipi hayasikiiii!!!
Hivi yule mfalme wa Morocco hakuleta pesa za uwanjaAhadi za kutoa mambo kichwani kutegemea na muonekano wa hadhira unataka kusikia nini?!! Hapo kuna nini? Ujinga wa waafrika wengi ndio mtaji wa wana siasa!! Na ni mchakato mrefu sana kuja kubadirisha fikra hizo, na ndio maana viongozi wanajua kuwa umasikini kwa wananchi ndio silaha tosha!!! Mtu akipewa hela ya kula leo tu, ya kesho anasema mungu atajua kwani alinileta kwa makusudi yake, hawezi acha nikafa!!! Hata uyazindue vipi hayasikiiii!!!
Hii nchi hata mambo siku hizi hayaeleweki!!! Jambo hata linapoishia halijulikani!! Walisema kufikia 2021, uwanja ungekuwa tayari.Hivi yule mfalme wa morocco hakuleta pesa za uwanja
Inawezekana hata hao wanaoambiwa wamesahau km mfalme wa morocco aliahidi kujenga uwanjaHii nchi hata mambo siku hizi hayaeleweki!!! Jambo hata linapoishia halijulikani!! Walisema kufikia 2021, uwanja ungekuwa tayari.
Mkuu tuna safari ndefu sana!! Na kujinasua ni vigumu, kwani wananchi wanapofikia kujitambua huwa inafikia watawala wanaanza kuingia na woga!! Mfano nchi ya MALI, si umeona kilichotokea, kila siku bora ya jana, wamekomaa kimeeleweka japo hata anayekuja anaweza kuwa wale wale lakini ndio demokrasia hiyo!!! Sasa hapa mtu anakuambia upinzani ni sumu haionjwi!!!Inawezekana hata hao wanaoambiwa wamesahau km mfalme wa morocco aliahidi kujenga uwanja
Wakati tumeonja maisha yenye uchumi duni duu!Mkuu tuna safari ndefu sana!! Na kujinasua ni vigumu, kwani wananchi wanapofikia kujitambua huwa inafikia watawala wanaanza kuingia na woga!! Mfano nchi ya MALI, si umeona kilichotokea, kila siku bora ya jana, wamekomaa kimeeleweka japo hata anayekuja anaweza kuwa wale wale lakini ndio demokrasia hiyo!!! Sasa hapa mtu anakuambia upinzani ni sumu haionjwi!!!
Hata hiyo familia kuna kushauriana kabla ya maamuzi makubwa.Mzee wa mihemko rais annagiza na kuamua utadhani anaendesha familia yake
Moroco ni third world country hana mafuta anategemea misaada na utalii.Hivi yule mfalme wa morocco hakuleta pesa za uwanja
Mavuvuzera ya fisiemu huwa yanaropoka chochote kile.Hii nchi hata mambo siku hizi hayaeleweki!!! Jambo hata linapoishia halijulikani!! Walisema kufikia 2021, uwanja ungekuwa tayari.