Ilani ya CHADEMA Hii Hapa

Ilani ya CHADEMA Hii Hapa

Ilani imejaa porojo, kama hii ndio ilani ya Chadema kamwe sitowapatia kura yangu:

1) Wanapunguza VAT mpaka 16% na kuondoa VAT kila sehemu bila kueleza gharama za kuendeshea serikali na maendeleo zitapatikanaje?

2) Watapitia upya mikataba ya ubinasoshaji, wakati Katibu wao Zitto alikuwemo kwenye mapitio yaliyopita, hivi hawamuamini?

3)Bajeti ya elimu kutoka18% - 35%, na huku wanfuta na kupunguza VAT, hiliongezeko litatoka wapi?

4) Hawaja eleza chochote kama Chadema wanasupport au wanapinga nchi kujiunga na OIC au Kadhi court.

5) Ilani imekaa kienyeji enyeji, iko kama Bible!, Kwanini kura yangu niipe Chadema?
 
Ilani imejaa porojo, kama hii ndio ilani ya Chadema kamwe sitowapatia kura yangu:

1) Wanapunguza VAT mpaka 16% na kuondoa VAT kila sehemu bila kueleza gharama za kuendeshea serikali na maendeleo zitapatikanaje?

2) Watapitia upya mikataba ya ubinasoshaji, wakati Katibu wao Zitto alikuwemo kwenye mapitio yaliyopita, hivi hawamuamini?

3)Bajeti ya elimu kutoka18% - 35%, na huku wanfuta na kupunguza VAT, hiliongezeko litatoka wapi?

4) Hawaja eleza chochote kama Chadema wanasupport au wanapinga nchi kujiunga na OIC au Kadhi court.

5) Ilani imekaa kienyeji enyeji, iko kama Bible!, Kwanini kura yangu niipe Chadema?

reason no.1 and 3 naweza kusema kuna mantiki pale to be debated kuongeza vat au kupunguza vat hakufanyi serikali kuwa na mapato mengi unaweza ukaongeza vat ukawafanya walipa vat aidha washindwe kufanyabiashara na kukimbiza wawekezaji au ukawafanya wakwepe ulipaji wake na ku create tatizo lingine la rushwa

kuhusu bajeti ya elimu kutoka 18% hadi 33% si kwamba ongezeko la bajeti litatoka wapi pesa ya bajeti inaweza kuwa ni ile ile ila elimu kupewa kipaumbele zaidi first priority mfano rahisi wa hesabu kama una bajeti ya sh.100 (15+40+45=100) na(10+30+60=100) hapa bajeti ni ileile ya sh 100 lakini umebadili tu mgawanyo
 
Huo ni mtazamo wako. si sawa kusema viongozi hao ni wabovu kwa kila mtu. Wanachama wa CHADEMA wamewakubali wewe utasemaje wabovu? Thibitisha ubovu wao kama wewe ni mkweli. Au wewe ni miongoni mwa akina Kafulila?

Ala! kumbe wanachama wakiwakubali wanakuwa bora? basi JK ni bora kwasababu wamemkubali wananchi wa Tanzania..ndio line of thinking!

Nathibitisha ni wabovu kwasababu zifuatazo

a) Mbowe amekuwa mwenyekiti bila kufuata demokrasi (undugunization na club of business people) sitegemee chochote kwa watanzania zaidi ya loyality kwa elites wa chadema ambao bahati mbay ni wachaga na wafanyabiashara wanaotengeneza business network. Pili elimu yake inatia mashaka hajasoma (kihiyo), tatu hana mkakati wowote zaidi ya kuongelea ufisadi huo ndi wimbo anaoufahamu period! chama ni zaidi ya wimbo huo

b) Slaa ni sawa na sumaye kiburi na dharau, above all elimu ya kuendesha kanisa (church management) ameipeleka kwenye chama anashirikiana na mbowe kuendeleza ukatoliki wao...Slaa ni mlalamisha anafaa huko huko karatu aendelee kulalama kitaifa ana hoja yoyote.
 
Ilani imejaa porojo, kama hii ndio ilani ya Chadema kamwe sitowapatia kura yangu:

1) Wanapunguza VAT mpaka 16% na kuondoa VAT kila sehemu bila kueleza gharama za kuendeshea serikali na maendeleo zitapatikanaje?

2) Watapitia upya mikataba ya ubinasoshaji, wakati Katibu wao Zitto alikuwemo kwenye mapitio yaliyopita, hivi hawamuamini?

3)Bajeti ya elimu kutoka18% - 35%, na huku wanfuta na kupunguza VAT, hiliongezeko litatoka wapi?

4) Hawaja eleza chochote kama Chadema wanasupport au wanapinga nchi kujiunga na OIC au Kadhi court.

5) Ilani imekaa kienyeji enyeji, iko kama Bible!, Kwanini kura yangu niipe Chadema?

Bull .mambo vipi!
Naona unahasira sana na CHADEMA kila unapoona thread ya CHADEMA moyo wako unakuenda mbio sana..Utaipigiaje kura CHADEMA na wewe si CHADEMA? na je kile chama chako kilichokufa huku kinatembea nani atakipigia?lol..Pole samaki pole...!
 
Ala! kumbe wanachama wakiwakubali wanakuwa bora? basi JK ni bora kwasababu wamemkubali wananchi wa Tanzania..ndio line of thinking!

Nathibitisha ni wabovu kwasababu zifuatazo

a) Mbowe amekuwa mwenyekiti bila kufuata demokrasi (undugunization na club of business people) sitegemee chochote kwa watanzania zaidi ya loyality kwa elites wa chadema ambao bahati mbay ni wachaga na wafanyabiashara wanaotengeneza business network. Pili elimu yake inatia mashaka hajasoma (kihiyo), tatu hana mkakati wowote zaidi ya kuongelea ufisadi huo ndi wimbo anaoufahamu period! chama ni zaidi ya wimbo huo

b) Slaa ni sawa na sumaye kiburi na dharau, above all elimu ya kuendesha kanisa (church management) ameipeleka kwenye chama anashirikiana na mbowe kuendeleza ukatoliki wao...Slaa ni mlalamisha anafaa huko huko karatu aendelee kulalama kitaifa ana hoja yoyote.

Tumain hujathibitisha chochote hizo ni hints au outlines tu siyo facts umesema mfano
undugunization and club of business how? tupe NEC ya Chadema tuione au viongozi wake wa juu
umesema Mbowe hajasoma tupe data
umesema Chadema haina mkakati wowote is it true huo wa ufisadi ulioutaja ni nini unahabari huo ndio unaoichambua CCM
umesema Slaa na Mbowe wanaendesha ukatoliki na uchaga hizi issue mbona zimeshapitwa na wakati wananchi walishazipuuza hata hao CCM siku hizi hawazitumii tena
wewe leta facts tutajadili hapa hapa kama ni za ukweli tutazipima zikionekana ni za uzushi tuta zi reject
 
Tumain hujathibitisha chochote hizo ni hints au outlines tu siyo facts umesema mfano
undugunization and club of business how? tupe NEC ya Chadema tuione au viongozi wake wa juu
umesema Mbowe hajasoma tupe data
umesema Chadema haina mkakati wowote is it true huo wa ufisadi ulioutaja ni nini unahabari huo ndio unaoichambua CCM
umesema Slaa na Mbowe wanaendesha ukatoliki na uchaga hizi issue mbona zimeshapitwa na wakati wananchi walishazipuuza hata hao CCM siku hizi hawazitumii tena
wewe leta facts tutajadili hapa hapa kama ni za ukweli tutazipima zikionekana ni za uzushi tuta zi reject

Unataka kudhibitisha nini kwenye undunization je siyo kweli kwamba mbowe akishirikiana na ndugu zake walimzuia zitto asigombee japo ki-katiba alikuwa na haki? elimu hana amefeli shule nyie ndio wakutuambia amesoma wapi?

Kuhusu Slaa unataka uthibitisho gani? Je si Kweli kwamba Zitto ni unwanted product chadema kwasababu ya dini yake? na slaa anashirikiana na kanisa kuhakikisha hafurukuti muislamu huko agh! hatudanganyiki
 
Unataka kudhibitisha nini kwenye undunization je siyo kweli kwamba mbowe akishirikiana na ndugu zake walimzuia zitto asigombee japo ki-katiba alikuwa na haki? elimu hana amefeli shule nyie ndio wakutuambia amesoma wapi?

Kuhusu Slaa unataka uthibitisho gani? Je si Kweli kwamba Zitto ni unwanted product chadema kwasababu ya dini yake? na slaa anashirikiana na kanisa kuhakikisha hafurukuti muislamu huko agh! hatudanganyiki

Wewe si ndiye umesema Mbowe hajasoma sasa nani anatakiwa kutibitisha kuwa hajasoma
Who said Zitto is unwanted Chadema au wewe ndiye unasema mimi navyojua hadi sasa ni Naibu katibu mkuu
 
Unataka kudhibitisha nini kwenye undunization je siyo kweli kwamba mbowe akishirikiana na ndugu zake walimzuia zitto asigombee japo ki-katiba alikuwa na haki? elimu hana amefeli shule nyie ndio wakutuambia amesoma wapi?

Kuhusu Slaa unataka uthibitisho gani? Je si Kweli kwamba Zitto ni unwanted product chadema kwasababu ya dini yake? na slaa anashirikiana na kanisa kuhakikisha hafurukuti muislamu huko agh! hatudanganyiki

Tumaini acha kuharibu status yako..katika watu ninaowaheshimu humu JF ur one of them....lakini kwa ninavyokuona unavyoshabikia issues za CHADEMA na kuzisema vibaya hata kwenye kuwapa credits nina mashaka makubwa na wewe...Umejaa ushabiki zaidi kuliko kujenga hoja..Lol..Inaelekela CHADEMA inakunyima sana usingizi..Unaleta uCUF wako....Nakupa pole coz ur just waiting ur time kwani CHADEMA itaendelea kuwa juu hata ukilia vipi..Kelele za Mpangaji hazimnyimi mwenye nyumba kupata usingizi.
 
Ala! kumbe wanachama wakiwakubali wanakuwa bora? basi JK ni bora kwasababu wamemkubali wananchi wa Tanzania..ndio line of thinking!

Nathibitisha ni wabovu kwasababu zifuatazo

a) Mbowe amekuwa mwenyekiti bila kufuata demokrasi (undugunization na club of business people) sitegemee chochote kwa watanzania zaidi ya loyality kwa elites wa chadema ambao bahati mbay ni wachaga na wafanyabiashara wanaotengeneza business network. Pili elimu yake inatia mashaka hajasoma (kihiyo), tatu hana mkakati wowote zaidi ya kuongelea ufisadi huo ndi wimbo anaoufahamu period! chama ni zaidi ya wimbo huo

b) Slaa ni sawa na sumaye kiburi na dharau, above all elimu ya kuendesha kanisa (church management) ameipeleka kwenye chama anashirikiana na mbowe kuendeleza ukatoliki wao...Slaa ni mlalamisha anafaa huko huko karatu aendelee kulalama kitaifa ana hoja yoyote.

Mkuu katika ikufuatilia post zako nyingi nimeona swala la udini ukilipa kipaumbele sana.i stand to be corrected....

Pia hebu ongelea ufanisi wa CHADEMA kama taasisi angalao kidogo tu
 
Ala! kumbe wanachama wakiwakubali wanakuwa bora? basi JK ni bora kwasababu wamemkubali wananchi wa Tanzania..ndio line of thinking!

Nathibitisha ni wabovu kwasababu zifuatazo

a) Mbowe amekuwa mwenyekiti bila kufuata demokrasi (undugunization na club of business people) sitegemee chochote kwa watanzania zaidi ya loyality kwa elites wa chadema ambao bahati mbay ni wachaga na wafanyabiashara wanaotengeneza business network. Pili elimu yake inatia mashaka hajasoma (kihiyo), tatu hana mkakati wowote zaidi ya kuongelea ufisadi huo ndi wimbo anaoufahamu period! chama ni zaidi ya wimbo huo

b) Slaa ni sawa na sumaye kiburi na dharau, above all elimu ya kuendesha kanisa (church management) ameipeleka kwenye chama anashirikiana na mbowe kuendeleza ukatoliki wao...Slaa ni mlalamisha anafaa huko huko karatu aendelee kulalama kitaifa ana hoja yoyote.

He he he..Kibaraka wa kitanzania..Wala sishangai kwani siku zote mti wenye matunda ndo unatupiwa mawe..Mbowe ni jabali ,Slaa ni hero ndio maana wanakunyima usingizi...lol
 
CHADEMA should be CHADEMA-IOD... IOD being In our dreams. Hiki chama bado kinahitaji some brains...manpower or brain power rather bado ndogo but hopefully in another 10 years, kitakuwa mbali. Until then..No thank you.
 
CHADEMA should be CHADEMA-IOD... IOD being In our dreams. Hiki chama bado kinahitaji some brains...manpower or brain power rather bado ndogo but hopefully in another 10 years, kitakuwa mbali. Until then..No thank you.

Hujaeleweka kabisa...
 
CHADEMA should be CHADEMA-IOD... IOD being In our dreams. Hiki chama bado kinahitaji some brains...manpower or brain power rather bado ndogo but hopefully in another 10 years, kitakuwa mbali. Until then..No thank you.

Taifa kama taifa 10 years ni kitu kidogo sana ni kama kesho kutwa lakini kwa mtu kama mtu 10 years ni muda mrefu ndiyo maana wewe unaona ni kipindi kirefu ni juzi tu tulikuwa tunalilia vyama vingi lakini sasa karibu miaka 20 imepita
 
He he he..Kibaraka wa kitanzania..Wala sishangai kwani siku zote mti wenye matunda ndo unatupiwa mawe..Mbowe ni jabali ,Slaa ni hero ndio maana wanakunyima usingizi...lol

Anaweza kuwa jabali kwako lakini kwangu hata sifa ya udongo mlaini hajafikia

Anaweza kuwa hero kwako lakini kwangu mimi mlalamishi na mpiga domo
 
reason no.1 and 3 naweza kusema kuna mantiki pale to be debated kuongeza vat au kupunguza vat hakufanyi serikali kuwa na mapato mengi unaweza ukaongeza vat ukawafanya walipa vat aidha washindwe kufanyabiashara na kukimbiza wawekezaji au ukawafanya wakwepe ulipaji wake na ku create tatizo lingine la rushwa

kuhusu bajeti ya elimu kutoka 18% hadi 33% si kwamba ongezeko la bajeti litatoka wapi pesa ya bajeti inaweza kuwa ni ile ile ila elimu kupewa kipaumbele zaidi first priority mfano rahisi wa hesabu kama una bajeti ya sh.100 (15+40+45=100) na(10+30+60=100) hapa bajeti ni ileile ya sh 100 lakini umebadili tu mgawanyo


Ulitaka kujibu swali 1 na 2 lakini bado unanipa wasiwasi pia kuhuisu wafuasi wa chadema wasivyo kua makini nadhani wengi bado ni wafuata upepo, kabila au dini unao ongozwa na chadema.

Mmeshindwa kabisa kujaribu kujibu (3 and 4) inanithibitishia chadema wanakimbia na hawaelewi kero ya jamii, pamoja kua Slaa aliahidi hapa jf kuwa swala la OIC na kadhi court atalitolea ufumbuzi kwenye ilani ya 2010 lakini swala hilo kaliepa, SHAME!!!!

Chadema watfuatilia mikataba, wakati ZITTO alikua mjumbe kwenye ufuatiliaji wa kwanza, lakini wenye kampuni ya chadema hawakumuamini kwa hiyo wataunda tume ingine, SHAME!!!!

Wataongeza bajeti ya elimu, wewe unatetea unasema (bajeti ya sh.100 (15+40+45=100) na(10+30+60=100) hivi uelewi maana ya kuengeza bajeti ninini? hiyo unayosema wewe ni piriotised bajeti, sasa ni sehemu zipi kwenye elimu chadema watapunguza? SHAME !!!

Watapunguza VAT,(hakuna figa za kitaalam kiasi gani kitaathiri pato) wata ongeza pato la serikali kwa njia gani ili kuongeza bajeti ya elimu?

Mi sio member wa Chama chochote nataka ku vote, you have the last chance to convince me, kwanini ni vote chadema? kuna ilani ingine au ni huu usaniii ?
 
Ilani inaandikwa na wanazuoni kwa malipo maalum hatimaye kuriziwa na chama..hivyo kwa vyovyote "itakuwa nzuri sana" kwasababu wasomi wameandaa (profesionals)

Ilani nzuri chini ya viongozi wabovu (Mbowe na Slaa) wabinafsi na wasio na uwezo wa kuongoza na kuhamasisha wananchi ni sawa na kitabu kizuri kwa watu wasiojua kusoma...

Sioni na kama kwa aina ya viongozi waliopo huko chadema kutakuwa na kipya sana sana ni club tu ya networking..poleni sana
Tumaini,
Ni dhahiri Ilani huelewi mchakato wa Ilani. Ilani yeyote (Manifesto, Platform) jina lolote linavyoitwa huandaliwa na Wataalam, na kuridhiwa na vikao vya maamuzi ya Chama. Tuambie hata kama Wewe ni ccm damu damu au chama chochote kile, ya ILANI ya ccm inaanzia wapi? Si ndiyo ile ile ambayo JK alikiri alikuta imekwisha kuandaliwa na hakuwa na lakufanya japo alikuwa hakubaliani na baadhi ya maeneo? Si ndiyo hiyo hiyo ambayo kwa wakati Mkapa aliwahi kutangaza kuwa haitekelezeki? Nadhani, hakuna madhara ilani katika mchakato wake kuandaliwa na wataalam na kuridhiwa( kwa kupitia mchakato wa vikao vya maamuzi- unless utuhakikishie kuwa Ilani ya Chadema haikupitia mchakato wa vikao vya maamuzi, vinginevyo una lako jambo tu na Chadema!

Ubovu wa viongozi unapimwa na Wanachama na vyombo vya Chama siyo na individual. Ningelitamani kuona unashusha kwenye jamvi opinion polls au takwimu kuhusu ubovu wa uliowataja? Hisia zinaweza kutawala, lakini kumbuka zitabaki kuwa hisia za individual, na hakuna hata siku mmoja utapendezesha watu wote asilimia mia moja.

Sisi wengine tumeumbwa kupokea criticism, both constructive and non constructive, positive and negative, kwa sababu ndiyo kigezo cha kujipima. Hivyo ninakushukuru kwa mawazo yako mazuri either way.
 
Asante sana.. ngoja tuipitie .. ila huu mwaka mmoja tu uliobaki.. wanatarajia kuwa na ilani hiyo hiyo mwaka huu maana hawakutekeleza ilani yao ya 2005 (kwa sababu hawakushika serikali).. so sidhani kama tunaweza kuwapima.
MMJ,
Aksante sana kwa maelezo yako. Ni kweli Ilani ya Chadema haikutekelezwa kitaifa kwa vile hatukushika dola, na Ilani hutekelezwa kwa kodi ya Mwananchi na anayekusanya kodi na kupewa mandate ya kukusanya ni chama kilichoshinda ndiyo maana sifa au lawama zote huenda kwa chama Tawala at any given time. Hata hivyo, Ilani ya Chadema imekuwa Tested katika maeneo ambako Chadema ni "chama Tawala", kwa yale mambo ambayo ni local, na mengi ya hayo mambo yamekwisha kuchukuliwa na Taifa. Ukitaka kupima nenda Halmashauri ya Wilaya ya Tarime ambayo iko chini ya Chadema, Kwa sehemu, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, ambaye inaongozwa kwa ushirikiano baina ya Chadema na CCM. Mathalan, Wilaya ya Karatu ndiyo iliyoanzisha ujenzi wa Sekondari katika kila kijiji na imeisha kukamilisha jambo hilo wakati Taifa liko bado ngazi ya Kata, ujenzi wa Zahanati katika ngazi ya Kijiji, na kutokea mwaka 2004 Halmashauri ya Karatu iliisha kukamilisha kazi hiyo na sasa tumevuka hata lengo kwani tuna zahanati hata kwenye ngazi ya vitongoji katika baadhi ya vijiji kutokana na jiografia ya eneo. Karatu ni mwalimu kwa Serikali ya CCM katika mengi, na mengi hayo bado hayafanyiki kitaifa, licha ya kuwa JK aliisha kuiga na kutangaza baadhi ya mambo hayo kuwa Sera yakitaifa. Hivyo, Chadema imekuwa Tested tayari kuliko chama kingine chochote cha upinzani na imefanya delivery ya tangible products ambazo zinaweza kuwa verified iwapo mtu ana nia njema.
 
Ulitaka kujibu swali 1 na 2 lakini bado unanipa wasiwasi pia kuhuisu wafuasi wa chadema wasivyo kua makini nadhani wengi bado ni wafuata upepo, kabila au dini unao ongozwa na chadema.

Mmeshindwa kabisa kujaribu kujibu (3 and 4) inanithibitishia chadema wanakimbia na hawaelewi kero ya jamii, pamoja kua Slaa aliahidi hapa jf kuwa swala la OIC na kadhi court atalitolea ufumbuzi kwenye ilani ya 2010 lakini swala hilo kaliepa, SHAME!!!!

Chadema watfuatilia mikataba, wakati ZITTO alikua mjumbe kwenye ufuatiliaji wa kwanza, lakini wenye kampuni ya chadema hawakumuamini kwa hiyo wataunda tume ingine, SHAME!!!!

Wataongeza bajeti ya elimu, wewe unatetea unasema (bajeti ya sh.100 (15+40+45=100) na(10+30+60=100) hivi uelewi maana ya kuengeza bajeti ninini? hiyo unayosema wewe ni piriotised bajeti, sasa ni sehemu zipi kwenye elimu chadema watapunguza? SHAME !!!

Watapunguza VAT,(hakuna figa za kitaalam kiasi gani kitaathiri pato) wata ongeza pato la serikali kwa njia gani ili kuongeza bajeti ya elimu?

Mi sio member wa Chama chochote nataka ku vote, you have the last chance to convince me, kwanini ni vote chadema? kuna ilani ingine au ni huu usaniii ?

Mkuu Bull kila kitu unaniambia shame on me nakubali lakini ukweli unabaki pale pale kuwa sikujibu maswali yako no 2,4 na5 ya post no 21 kwa sababu niliyaona yanabase sana kwenye personalities za watu na dini ambazo siwezi kuzisemea

hata kama Zitto alikuwa M/kiti wa kamati lakini hatakiwi kuwadikteti wajumbe wenzake angeoneka hafai kuhusu swala la OIC na Kadhi kwa niaba ya majibu ya Dr Slaa alisema yako kwenye mchakato hata yeye hakuyatolea majibu sasa mimi nitatowa wapi majibu na mimi ni member wa JF tu kama wewe

pia umesema Ilani yao imetoka kienyeji kama Bible sasa kwa mtu mwenye akili timamu siwezi kujibu swala kama hilo usinibane sana hata mimi si member wa Chadema ila ni mpenzi wa sera zao na ikiwezekana nitazipigia kura sera zao
 
Back
Top Bottom