LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Nipo hapa mtaa wa Ilboru sec school na naona wanafunzi wanatoka na mabegi na naona kuna magari matatu ya polisi na wamejiandaa kwa lolote lile. Ngoja niifuatilie na nitarudi hapa hapa kwa maelezo zaidi.
Sijui ni nini imewasibu hawa wadogo zangu hapa shuleni.
Sijui ni nini imewasibu hawa wadogo zangu hapa shuleni.