NdiyoUpumbavu tu. Mna Mvua nyie?
Na wakirudi Yanga wote walazimishwe kumeza p2 wasituzalie mapanya maana lazima warudi na mimbaLeo Yanga watapigwa kama ngoma.
Kwahiyo Mgunda ndio mwenye hatma ya yanga leo?π€£π€£Tanga ilichukizwa kwa kijana wao, Juma Mgunda, kutukanwa.
Na kama kawaida ya watu wa Tanga walivyo; Mgunda alijibu kistaarabu utadhani hajachukia vile. Sasa watakula jeuri yao.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Na wakirudi Yanga wote walazimishwe kumeza p2 wasituzalie mapanya maana lazima warudi na mimba
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ohooooo HABIB THALATHA BIN THIFULI Ψ΅ΩΨ³ΩΩΩΩΩΩΩΩΨΈ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuache hebu. πHawa vyura wa matopeni kesho ndo watajua matope huja baada ya mvua kunyesha
Ndo hivyo. Hata Ile first leg ya wiki iliyopita kwa Mkapa wazee wa Simba waliicheza.Kwahiyo Mgunda ndio mwenye hatma ya yanga leo?π€£π€£
Ujinga tuuu asa mlipata nn , Tanzania hakuna utani wa jadi Bali kuna chuki ya jadiNdo hivyo. Hata Ile first leg ya wiki iliyopita kwa Mkapa wazee wa Simba waliicheza.
Tulipata ushindi wa 1 - 2. Chuki ya jadi mnayo nyinyi tangu kitambo. Umesahau jinsi wenzako walivyokuwa wanaenda airport kuwapokea wapinzani wa Simba (umeona mashabiki wa Simba wakifanya hivi?), jinsi Engineer 'Hedhi' Said alivyovaa jezi ya Wasouth Africa waliokuwa wapinzani wetu (umeona kiongozi wa Simba amenunua jezi ya USM Algiers?).Ujinga tuuu asa mlipata nn , Tanzania hakuna utani wa jadi Bali kuna chuki ya jadi