Ile penati ya Simba ni ya halali?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Ni kweli Simba walistahili mkwaju ule wa penati.

Lakini swali fikirishi ni kwa yule mchezaji wa Dodoma jiji ile jinsi alivyoushika ule mpira.

Ni wazi ilionekana ni maksudi alifanya kitendo kile

Swali linakuja

Kwanini aliushika mpira ule kwa kudhamiria ilihali akijua yupo ndani ya box?

Je,si mipango ile?
 
Simba bila penalty haishindi
 
Mkono aliuinua na kuushika mpira, ile ni hand to ball kwa kiingereza, ile ni penati halisi bila chenga ndani ya box
 
Penat ya mchongo
 
Mkono aliuinua na kuushika mpira, ile ni hand to ball kwa kiingereza, ile ni penati halisi bila chenga ndani ya box
Ndio ni penalti halali iliyotengenezwa makusudi na mchezaji wa Dodoma, kifupi kijana alichoma timu kwa faida yake.
 
tulikubaliana kila mtu atunze maumivu yake mbona ww umeshindwa
 
Kumbuka na goli la Mayele alipewa Pasi na mchezaji wa geita gold mine. Nao ulikuwa mchongo?
 
  • Ilikuwa penalti halali kabisa bila chenga.
  • Hata ya Mohamed Hussein ilikuwa penalti halali kabisa lakini refa aliamua tofauti kwa sababu anazojua yeye mwenyewe.
  • Ya Chama haikuwa penalti
  • Mchezaji wa Dodoma Jiji Karie hakuzidi bali mabeki wa Simba walisimama na kuinua mikono kuomba msaada kwa mshika kibendera naye
akawasaidia bila hiyana.

Tukatae tukubali hao ndio waamuzi wetu.
 
Ile penat ya kunawa mpira kwa makusudi laiti kama ingekuwa kwenye game yoyote ya yanga zingebuka nyuzi nyingi humu za kudai yanga imenunua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…