Ngj wajeWakuu
Ni miaka 60 sasa tangu nchi iwe huru na mambo mengi yanabadilika kila uchwao
Kwa sasa hapa bongoland mambo ni tofauti kabisa...man unatongoza mwanamke tena unaweza zungushwa kukubaliwa hasa lakini siku ukakubaliwa hapo jiandae kwa bajeti
Mwanamke hatumii usafiri, unaamua kumfuata aliko unalipia lodge unanunua vinywaji na chakula then unapewa UTELEZI
Muda wa kuondoka pesa inahitajika either kwa kuambiwa direct or kuombwa kwa vitendo na mitego
Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Kwani ni lazima?
Mlikubaliana after game upewe?
Khaaaa[emoji16][emoji16]Inaitwa Pay per view
YA SABUNIWakuu
Ni miaka 60 sasa tangu nchi iwe huru na mambo mengi yanabadilika kila uchwao
Kwa sasa hapa bongoland mambo ni tofauti kabisa...man unatongoza mwanamke tena unaweza zungushwa kukubaliwa hasa lakini siku ukakubaliwa hapo jiandae kwa bajeti
Mwanamke hatumii usafiri, unaamua kumfuata aliko unalipia lodge unanunua vinywaji na chakula then unapewa UTELEZI
Muda wa kuondoka pesa inahitajika either kwa kuambiwa direct or kuombwa kwa vitendo na mitego
Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Kwani ni lazima?
Mlikubaliana after game upewe?
Anataka ziwa anyonye ufupi tabu60 yrs of Tanganyika Independence View attachment 2038954
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]60 yrs of Tanganyika Independence View attachment 2038954
Duuu! Umewaza nini ndugu? Nadhani bado hakuna neno maalumu kwa ajili ya malipo haya so unayo nafasi ya kuunda neno litakalotumika kwa malipo haya yasiyo halali! Wenyewe huwa wanajisifu baada ya malipo kuwa wametuchuna! Nashauri neno utakalounda litokane na neno chuna! Zaidi sana nashauri tuache kununua huduma hii badala yake tuoe ili tuondokane na biashara hii haramu ya uzinzi!Wakuu
Ni miaka 60 sasa tangu nchi iwe huru na mambo mengi yanabadilika kila uchwao
Kwa sasa hapa bongoland mambo ni tofauti kabisa...man unatongoza mwanamke tena unaweza zungushwa kukubaliwa hasa lakini siku ukakubaliwa hapo jiandae kwa bajeti
Mwanamke hatumii usafiri, unaamua kumfuata aliko unalipia lodge unanunua vinywaji na chakula then unapewa UTELEZI
Muda wa kuondoka pesa inahitajika either kwa kuambiwa direct or kuombwa kwa vitendo na mitego
Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Kwani ni lazima?
Mlikubaliana after game upewe?