Wakuu
Ni miaka 60 sasa tangu nchi iwe huru na mambo mengi yanabadilika kila uchwao
Kwa sasa hapa bongoland mambo ni tofauti kabisa...man unatongoza mwanamke tena unaweza zungushwa kukubaliwa hasa lakini siku ukakubaliwa hapo jiandae kwa bajeti
Mwanamke hatumii usafiri, unaamua kumfuata aliko unalipia lodge unanunua vinywaji na chakula then unapewa UTELEZI
Muda wa kuondoka pesa inahitajika either kwa kuambiwa direct or kuombwa kwa vitendo na mitego
Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Kwani ni lazima?
Mlikubaliana after game upewe?
Ni miaka 60 sasa tangu nchi iwe huru na mambo mengi yanabadilika kila uchwao
Kwa sasa hapa bongoland mambo ni tofauti kabisa...man unatongoza mwanamke tena unaweza zungushwa kukubaliwa hasa lakini siku ukakubaliwa hapo jiandae kwa bajeti
Mwanamke hatumii usafiri, unaamua kumfuata aliko unalipia lodge unanunua vinywaji na chakula then unapewa UTELEZI
Muda wa kuondoka pesa inahitajika either kwa kuambiwa direct or kuombwa kwa vitendo na mitego
Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Kwani ni lazima?
Mlikubaliana after game upewe?