Ile pesa tunayowapea wanawake baada ya ngono inaitwaje? Nilazima?

Ile pesa tunayowapea wanawake baada ya ngono inaitwaje? Nilazima?

Hata Kama NI mke umeoa.
Kodi ya meza utatoa tu.
binafsi Kama Sina hela siwezi kuita mwanamke.
yaani aje alafu aondoke mikono mitupu siwezi KABISA.
Kwaio ni mshahara huo sio?? Na ukute ww ndo ulikua unaangaika mpk majasho af mwenzko kalala tu
 
Duuu! Umewaza nini ndugu? Nadhani bado hakuna neno maalumu kwa ajili ya malipo haya so unayo nafasi ya kuunda neno litakalotumika kwa malipo haya yasiyo halali! Wenyewe huwa wanajisifu baada ya malipo kuwa wametuchuna! Nashauri neno utakalounda litokane na neno chuna! Zaidi sana nashauri tuache kununua huduma hii badala yake tuoe ili tuondokane na biashara hii haramu ya uzinzi!
Mbususu Depreciation Charges.
 
Back
Top Bottom