Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa sababu ile ya kwenye makato ya simuinatiwa tozo, basi hii itakuwa inaitwa tombo!Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Na wewe huwa unachukua hiyo hela?refreshments
Eti refreshment?! [emoji125][emoji125][emoji125]refreshments
Ni mkono wa shukrani baada ya kuonyesha ushirikiano mzuriWakuu
Ni miaka 60 sasa tangu nchi iwe huru na mambo mengi yanabadilika kila uchwao
Kwa sasa hapa bongoland mambo ni tofauti kabisa...man unatongoza mwanamke tena unaweza zungushwa kukubaliwa hasa lakini siku ukakubaliwa hapo jiandae kwa bajeti
Mwanamke hatumii usafiri, unaamua kumfuata aliko unalipia lodge unanunua vinywaji na chakula then unapewa UTELEZI
Muda wa kuondoka pesa inahitajika either kwa kuambiwa direct or kuombwa kwa vitendo na mitego
Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Kwani ni lazima?
Mlikubaliana after game upewe?
Padre haongiNa wewe huwa unachukua hiyo hela?
Calculation yake ni Straight Line Method (SLM) au Reducing Balance Method (RBM)..???Mbususu Depreciation Charges.
Janja yakonwameshaishitukianwahusika wa humuHata Kama NI mke umeoa.
Kodi ya meza utatoa tu.
binafsi Kama Sina hela siwezi kuita mwanamke.
yaani aje alafu aondoke mikono mitupu siwezi KABISA.
Walaaaaa.sina Nia hyo.Janja yakonwameshaishitukianwahusika wa humu