Ile pesa tunayowapea wanawake baada ya ngono inaitwaje? Nilazima?

Ile pesa tunayowapea wanawake baada ya ngono inaitwaje? Nilazima?

Wakuu
Ni miaka 60 sasa tangu nchi iwe huru na mambo mengi yanabadilika kila uchwao

Kwa sasa hapa bongoland mambo ni tofauti kabisa...man unatongoza mwanamke tena unaweza zungushwa kukubaliwa hasa lakini siku ukakubaliwa hapo jiandae kwa bajeti

Mwanamke hatumii usafiri, unaamua kumfuata aliko unalipia lodge unanunua vinywaji na chakula then unapewa UTELEZI

Muda wa kuondoka pesa inahitajika either kwa kuambiwa direct or kuombwa kwa vitendo na mitego

Nyie watu, hiyo pesa mnayoitaka baada ya game mnaiitaje?
Kwani ni lazima?
Mlikubaliana after game upewe?
Ni mkono wa shukrani baada ya kuonyesha ushirikiano mzuri
 
refreshments

images (2).jpg
 
Eti refreshment?! [emoji125][emoji125][emoji125]
Mamndenyi Nakuandalia refreshment! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom