Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilicho mfanya Lulu afungwe miaka miwili Ni Kwa Sababu alidanganya umri wake kituo cha polisi akisema ana miaka Kumi Na nane Kwa Sababu alikuwa Na leseni ya driving mean she was driving so nadhani aliogopa kusema ana miaka 17 angeulizwa leseni kaipataje vinginevyo angefungwa kifungo cha nje miaka miwili ma sio cha ndani.Aiseee inashangaza Sana, Mimi nilidhani kwa makosa makubwa Kama hayo (Kuua na Kulawiti/Kubaka) wanawekwa kwanza kwenye hizo jela za watoto wakifikisha miaka 18 wanahamishwa gereza la wakubwa kuendelea na kifungo kumbe ni tofauti!!!
Ndio maana Lulu wa Kanumba alipigwa miaka miwili sababu alikua na 17 wakati tukio linatokea.
miaka 18 ni mpango wa Shetani mtoto wa kike anabarehe akiwa na miaka 9 na wa kiume miaka 14 hayo mambo ya eti mtoto anaitwa mtu mzima akiwa na miaka 18 sio mpango wa Mungu
Wanyakyusa wanaonyesha their true colors.
16 + 16 = 32 - 2 (miaka ya kuishi kinyumba) = 30 (jela)
Nawaza kwa nini mara nyingi wanapolingana umri wenza huwa huishia kugombana gombana etc
Aligundua vipi mimba haikuwa yake?Ukute mimba haikuwa yake, akagundua kabambikiwa
which is blackWanyakyusa wanaonyesha their true colors.
Mimi nina swali tu, Tangu lini RPC Akawa na cheo cha ASP (Assistant Superintendent). Nyota 3MWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe, Subira Kibona(16) amefariki dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali mgongoni kisha mwili wake kuchomwa moto na anayesadikika kuwa mume wake, Shukrani Kamwela (16) kabla ya kutupa mabaki ya mwili huo kwenye korongo.
Kamada wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe, ASP Janeth Magomi, akizungumzia tukio hilo jana, amesema walipokea taarifa za tukio hilo juu ya mwanamke huyo ambaye alipotea nyumbani tangu Januari 13, mwaka huu.
ASP Magomi amesema baada ya kutoonekana kwa marehemu huyo wananchi walifanya juhudi za kumtafuta ndipo walipokuta mwili wake ukiwa umetupwa katika korongo lililopo katika moja ya pori mkoani humo huku ukiwa umechomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya mgongoni na kuchomwa moto.
Hata hivyo, ASP Magomi amesema chanzo cha tukio hilo bado hakijajulikana na jeshi la polisi linaendelea kuchunguza na tayari linamshikilia mtuhumiwa.
Diwani wa kata hiyo, Yotamu Ndile, amesema mume wa marehemu kumwambia mke wake waende kwa Mganga wa kienyeji kutafuta dawa ya tumbo maarufu kama kata kamba kwani marehemu alikuwa na ujauzito wa miezi saba.
Aidha, akizungumza na wananchi wa eneo la tukio Afisa Tarafa ya Bulambya, Joyce Chale amewataka wananchi wa kijiji hicho kuwa na hofu ya Mungu kwani jamii inapaswa kutoa elimu kwa vijana namna ya kutatua migogoro inayojitokeza kwenye ndoa na si kukatisha uhai mtu ambaye nitegemezi kwa taifa.
Afisa huyo amewataka wananchi hao kushirikiana na jeshi la polisi kutoa taarifa za matukio kwani jeshi hilo linafanya kazi kwa kushirikiana na wananchi kwa lengo la kuwakamata waharifu na kuondoa dhana ya pindi wakitoa taarifa watakamatwa.
Aidha, amewataka wazazi kuacha tabia ya kuwafanya watoto wa kike kama kitega uchumi bali wawapeleke shule ili kuepusha ndoa za utotoni.
Imeelezwa kuwa tukio hilo limekuwa la pili kutokea kijijini hapo la wanawake kuchomwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa kuwa ni kisu huku wananchi wakiomba serikali kuchukua hatua za makusudi kukabili hali hiyo.
Malunde blog
Nlijua jamaa mchagaMWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe, Subira Kibona(16) amefariki dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali mgongoni kisha mwili wake kuchomwa moto na anayesadikika kuwa mume wake, Shukrani Kamwela (16) kabla ya kutupa mabaki ya mwili huo kwenye korongo.
Kamada wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe, ASP Janeth Magomi, akizungumzia tukio hilo jana, amesema walipokea taarifa za tukio hilo juu ya mwanamke huyo ambaye alipotea nyumbani tangu Januari 13, mwaka huu.
ASP Magomi amesema baada ya kutoonekana kwa marehemu huyo wananchi walifanya juhudi za kumtafuta ndipo walipokuta mwili wake ukiwa umetupwa katika korongo lililopo katika moja ya pori mkoani humo huku ukiwa umechomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya mgongoni na kuchomwa moto.
Hata hivyo, ASP Magomi amesema chanzo cha tukio hilo bado hakijajulikana na jeshi la polisi linaendelea kuchunguza na tayari linamshikilia mtuhumiwa.
Diwani wa kata hiyo, Yotamu Ndile, amesema mume wa marehemu kumwambia mke wake waende kwa Mganga wa kienyeji kutafuta dawa ya tumbo maarufu kama kata kamba kwani marehemu alikuwa na ujauzito wa miezi saba.
Aidha, akizungumza na wananchi wa eneo la tukio Afisa Tarafa ya Bulambya, Joyce Chale amewataka wananchi wa kijiji hicho kuwa na hofu ya Mungu kwani jamii inapaswa kutoa elimu kwa vijana namna ya kutatua migogoro inayojitokeza kwenye ndoa na si kukatisha uhai mtu ambaye nitegemezi kwa taifa.
Afisa huyo amewataka wananchi hao kushirikiana na jeshi la polisi kutoa taarifa za matukio kwani jeshi hilo linafanya kazi kwa kushirikiana na wananchi kwa lengo la kuwakamata waharifu na kuondoa dhana ya pindi wakitoa taarifa watakamatwa.
Aidha, amewataka wazazi kuacha tabia ya kuwafanya watoto wa kike kama kitega uchumi bali wawapeleke shule ili kuepusha ndoa za utotoni.
Imeelezwa kuwa tukio hilo limekuwa la pili kutokea kijijini hapo la wanawake kuchomwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa kuwa ni kisu huku wananchi wakiomba serikali kuchukua hatua za makusudi kukabili hali hiyo.
Malunde blog
Ndo hivo maisha au kunyongwa mamiiKosa la mauaji hua wanatoka jela? Nilijua hua wanafungwa kifungo cha maisha.
Ile ya lulu ilikuwa manslaughter,Kilicho mfanya Lulu afungwe miaka miwili Ni Kwa Sababu alidanganya umri wake kituo cha polisi akisema ana miaka Kumi Na nane Kwa Sababu alikuwa Na leseni ya driving mean she was driving so nadhani aliogopa kusema ana miaka 17 angeulizwa leseni kaipataje vinginevyo angefungwa kifungo cha nje miaka miwili ma sio cha ndani.
Hiyo sheria inatakiwa kufanyiwa marekebisho haraka iwezekanavyo
... kwa context hiyo huyo sio mwanamke; ni msichana.MWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe, Subira Kibona(16) amefariki dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali mgongoni kisha mwili wake kuchomwa moto na anayesadikika kuwa mume wake, Shukrani Kamwela (16) kabla ya kutupa mabaki ya mwili huo kwenye korongo.
...
Nimeku pm.Nlijua jamaa mchaga
Lakini pia anaweza kushitakiwa kama mtu mzima. Yaani ameoa halafu ashitakiwe kama mtoto!Sheria ya Watoto ya mwaka 2009 ya kijinga Sana mtuhumiwa mwenye umri wa miaka chini ya
Kumi Na nane Ni Mtoto Na anahukumiwa kwenye mahakama ya Watoto Na adhabu yake mara nyingi huwa maximum miaka miwili nje ya gereza. Niliwahi shuhudia Dogo dereva wa Lori ana miaka 17 kamlawiti Mtoto WA miaka miwili halafu akafungwa miaka miwili kifungo cha nje.
It is high time now sheria ibadilishwe HII kuwe Na categories za umri WA watoto.
This kid Must be given a life he was so cold
mimi sijasema kuoa au kuolewa nimesema kubarehe ...Mungu yupi huyo?
Nitajie mahali huyo Mungu aliposema au andika kuwa mtu wa umri uliotaja anatakiwa kuoa na kuolewa..
mimi sijasema kuoa au kuolewa nimesema kubarehe ...
kama hujui kishwahili rudi shule