Ileje: Binti Mjamzito auawa kwa kuchomwa Kisu na Mwili wake kuchomwa Moto

Kilicho mfanya Lulu afungwe miaka miwili Ni Kwa Sababu alidanganya umri wake kituo cha polisi akisema ana miaka Kumi Na nane Kwa Sababu alikuwa Na leseni ya driving mean she was driving so nadhani aliogopa kusema ana miaka 17 angeulizwa leseni kaipataje vinginevyo angefungwa kifungo cha nje miaka miwili ma sio cha ndani.

Hiyo sheria inatakiwa kufanyiwa marekebisho haraka iwezekanavyo
 
miaka 18 ni mpango wa Shetani mtoto wa kike anabarehe akiwa na miaka 9 na wa kiume miaka 14 hayo mambo ya eti mtoto anaitwa mtu mzima akiwa na miaka 18 sio mpango wa Mungu

Mungu yupi huyo?

Nitajie mahali huyo Mungu aliposema au andika kuwa mtu wa umri uliotaja anatakiwa kuoa na kuolewa..
 
16 + 16 = 32 - 2 (miaka ya kuishi kinyumba) = 30 (jela)

Nawaza kwa nini mara nyingi wanapolingana umri wenza huwa huishia kugombana gombana etc

Huyu Dogo Kama Mie nagawa miaka 30 Kwa wazazi pande zote Na Dogo, 30 divide by 5, they get 6 years each!
 
Mimi nina swali tu, Tangu lini RPC Akawa na cheo cha ASP (Assistant Superintendent). Nyota 3

Ni makosa ya uhandishi au ni kweli??
 
Wote wana umri wa miaka 16. Naliona tatizo hapa Kwa hawa watoto kuoana badala ya kuwa shuleni. Mtoto wa kivulana hakuwa tayari kutunza hiyo mimba na kitoto ambacho kingezaliwa. Ila suluhisho alilochukua si la busara. Ataishia lupango na baada ya miaka mitatu kesi itaanza kuunguruma.
 
Nlijua jamaa mchaga
 
Ile ya lulu ilikuwa manslaughter,

Lakini kwa kesi kama ya huyu kijana watamhukumu kwa kuangalia sheria inayomlinda mtoto
,
Ijapo pia wataanagalia uhatari wake kama wakimwachia maana anaweza enda kuua tena
 
... kwa context hiyo huyo sio mwanamke; ni msichana.
 
Hahahaaa hili tukio lingekuwa limetokea Kilimanjaro, sasa hiv ingekuwa wachaga wana roho mbaya sana, hawafai kabisa,


Uhalifu upo kila mahali kwa kila kabila,!!
 
Lakini pia anaweza kushitakiwa kama mtu mzima. Yaani ameoa halafu ashitakiwe kama mtoto!
 
Mungu yupi huyo?

Nitajie mahali huyo Mungu aliposema au andika kuwa mtu wa umri uliotaja anatakiwa kuoa na kuolewa..
mimi sijasema kuoa au kuolewa nimesema kubarehe ...
kama hujui kiswahili rudi shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…