Ili Chadema iwe rahisi zaidi kwao kushinda uchaguzi, basi mtu mwenye nguvu na ushawishi CCM ahamie Chadema kumchallange Samia

Ili Chadema iwe rahisi zaidi kwao kushinda uchaguzi, basi mtu mwenye nguvu na ushawishi CCM ahamie Chadema kumchallange Samia

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Kama itatokea mtu mwenye nguvu na ushawishi ndani ya CCM na akaamua kuhamia Chadema kumchallange Mh Samia, itakuwa rahisi zaidi kwa Chadema kuchukua nchi kuliko kumsimamisha Tundu Lisu .

Huyu mtu kwanza ataondoka na idadi kubwa ya wanachama wa CCM ukijumlisha na wale wa Chadema ushindani utakuwa mkubwa zaidi.

Binafsi kwa ninavyoona Samia hana nguvu sana ya ushawishi ndani ya chama na nina imani kubwa kuna miamba ina nguvu ya ushawishi sana chamani na nje ya chama hivyo ni rahisi sana kumchallange Mh Samia.
 
Atoke kwenye hela aende kwenye njaaa 😂
Wengi wana pesa CCM na wana nguvu ya ushawishi na nia pekee iliyobaki ni kukwaa nafasi ya juu zaidi ambayo ni urais.

Wskiwa ndani ya chama tawala ni ngumu kwao ku challenge ila wskiwa nje ni rahisi zaidi.
 
Ccm ndiyo itaimaliza ccm,
Kutoka mtu ccm kwenda chadema ina faida na hasara,kwanza itaashiria udhaifu ndani ya chadema na upinzani kwa ujumla kwa kukosa mtu mwenye ushawishi kwa raia kitu ambacho sioni kama ni kweli anakosekana mtu,
Pili faida inayoweza kupatikana ni kurudi kwa upinzani katika bunge,hapa itawin viti kadhaa hata kama si kwa asilimia zaidi ya 50 lakini uwakilishi utakuwepo
Mbali na hayo bado chadema na upinzani kwa kipindi hiki nafasi ya kurudi bungeni ipo,tiwaamini na tuwape nafasi walioaminiwa na chama kugombea nafasi hizo,
Maendeleo ni risk kama risk nyingine,wanaobashiri wanaelewa
 
Wao wenyewe wanajua nje ya CCM hamna urais......ukitoka nje labda uwe unaenda kugombea ubunge na nafasi nyingine ila urais wanajua kabisa hata uwe na ushawishi vipi ukitoka tu CCM na ndoto hizo zifute ,ndo maana wanahangaika kupambana humohumo ndani ya chama
 
Unataka walete kinyesi kingine Ndani?
Tuanze kuulizana ni Asset au liability?
 
Chadema haiwezi shinda huu uchaguzi, CCM wamesha jipanga sana
 
Kwa sasa CCM hakuna mtu anayeweza kuhama na watu kama ilivyokuwa kwa Lowassa.
Wote waliopo ni liabilities tu. Wakija CHADEMA watasababisha hasara kubwa.
 
Hujifunzi kutoka kwa Lowassa 😂 hata samia mwenyewe hawezi kutoboa
 
Yatakuwa kama yale ya Lowasa kwenda CHADEMA
baadae Lowasa akaona yamemshinda akarudi CCM na maneno hodi hodi hodi
 
Back
Top Bottom