Ili Jambo langu la Ijumaa likamilike naomba anayejua vinapopatikana Vifuatavyo aniambie upesi

Ili Jambo langu la Ijumaa likamilike naomba anayejua vinapopatikana Vifuatavyo aniambie upesi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Njiwa Weusi tu wanaotamia

2. Kucha za Fisi Jike

3. Mkojo wa Mamba

4. Jasho la Chatu

5. Bendera ya Taifa lolote la nchi za Kiarabu ila ikipatikana hasa ya Egypt ( Misri ) Itapendeza zaidi

6. Mate ya Kifaru Dume na yachukuliwe akiwa anakuangalia kipindi ana Njaa sana

7. Ulimi wa Mjusi Balanguru

Tafadhali mwenye navyo awasiliane nami GENTAMYCINE upesi sana hapa JamiiForums ili tuokoe Jahazi vinginevyo Ijumaa itakuwa ni Siku ngumu mno Kwangu na huenda Nikaumbuka vibaya na hata Safari yangu ya kwenda Misri tarehe 24 Oktoba, 2023 ikawa ndefu Kwangu ni ya kwenda Kuzurula tu na Kuyashangaa Mapiramidi ya Kihistoria.
 
Mfungeni kamba huyu jamaa network inasumbua nyakati hizi za mvua
giphy.gif
 
1. Njiwa Weusi tu wanaotamia

2. Kucha za Fisi Jike

3. Mkojo wa Mamba

4. Jasho la Chatu

5. Bendera ya Taifa lolote la nchi za Kiarabu ila ikipatikana hasa ya Egypt ( Misri ) Itapendeza zaidi

6. Mate ya Kifaru Dume na yachukuliwe akiwa anakuangalia kipindi ana Njaa sana

7. Ulimi wa Mjusi Balanguru

Tafadhali mwenye navyo awasiliane nami GENTAMYCINE upesi sana hapa JamiiForums ili tuokoe Jahazi vinginevyo Ijumaa itakuwa ni Siku ngumu mno Kwangu na huenda Nikaumbuka vibaya na hata Safari yangu ya kwenda Misri tarehe 24 Oktoba, 2023 ikawa ndefu Kwangu ni ya kwenda Kuzurula tu na Kuyashangaa Mapiramidi ya Kihistoria.
Unazidi kutangaza ujinga wako. Angalau ungeuficha. Hivyo unavyotafuta viko Bitiama kwa wingi tu
 
Wewe ndiye mtu ambaye unaongoza kwa kuandika na kuposti kila Mara kwenye Jukwaa la Michezo vitu visivyokuwa na Mantiki!

Nilitegemea kwakuwa unaipenda michezo hasa ukiwa shabiki lilia wa Kolo uwe unaandika mada zenye kujenga hoja na zilizojaa Uchambuzi wa kimantiki kuhusiana na michezo kwa ujumla wake!.

Kuwa mwanachama wa JF mkongwe bado haijakusaidia kupevuka kiakili,watu tukiandika hivi kukushauri unaona kama hatukupendi na tunakuonea,mwisho wa siku tutaambulia matusi na kubezwa!
 
1. Njiwa Weusi tu wanaotamia

2. Kucha za Fisi Jike

3. Mkojo wa Mamba

4. Jasho la Chatu

5. Bendera ya Taifa lolote la nchi za Kiarabu ila ikipatikana hasa ya Egypt ( Misri ) Itapendeza zaidi

6. Mate ya Kifaru Dume na yachukuliwe akiwa anakuangalia kipindi ana Njaa sana

7. Ulimi wa Mjusi Balanguru

Tafadhali mwenye navyo awasiliane nami GENTAMYCINE upesi sana hapa JamiiForums ili tuokoe Jahazi vinginevyo Ijumaa itakuwa ni Siku ngumu mno Kwangu na huenda Nikaumbuka vibaya na hata Safari yangu ya kwenda Misri tarehe 24 Oktoba, 2023 ikawa ndefu Kwangu ni ya kwenda Kuzurula tu na Kuyashangaa Mapiramidi ya Kihistoria.
Mbumbumbu FC mlikamatwa SA kwa uchawi sasa mnataka kukamatwa TZ
 
1. Njiwa Weusi tu wanaotamia

2. Kucha za Fisi Jike

3. Mkojo wa Mamba

4. Jasho la Chatu

5. Bendera ya Taifa lolote la nchi za Kiarabu ila ikipatikana hasa ya Egypt ( Misri ) Itapendeza zaidi

6. Mate ya Kifaru Dume na yachukuliwe akiwa anakuangalia kipindi ana Njaa sana

7. Ulimi wa Mjusi Balanguru

Tafadhali mwenye navyo awasiliane nami GENTAMYCINE upesi sana hapa JamiiForums ili tuokoe Jahazi vinginevyo Ijumaa itakuwa ni Siku ngumu mno Kwangu na huenda Nikaumbuka vibaya na hata Safari yangu ya kwenda Misri tarehe 24 Oktoba, 2023 ikawa ndefu Kwangu ni ya kwenda Kuzurula tu na Kuyashangaa Mapiramidi ya Kihistoria.
Kuumbuka ijumaa ni Kama kumsukuma mlevi tu, angalia back line yako na timu yako kiujumla je Iko sawa? Kabla ya kukusanya ivyo vitu kwanza unatakiwa ubebwe na ubora wa timu yako kwanza vinginevyo utakuwa unafanya kazi ya kuukumbatia upepo!!! Unawanga wenzako wanasoma kitabu kitakatifu inapigwa quruani mpaka nyie wachawi wote mnapoteana uwanjani na kibaya zaidi ni ijumaa mtajibeba!!!
 
Wewe ndiye mtu ambaye unaongoza kwa kuandika na kuposti kila Mara kwenye Jukwaa la Michezo vitu visivyokuwa na Mantiki!

Nilitegemea kwakuwa unaipenda michezo hasa ukiwa shabiki lilia wa Kolo uwe unaandika mada zenye kujenga hoja na zilizojaa Uchambuzi wa kimantiki kuhusiana na michezo kwa ujumla wake!.

Kuwa mwanachama wa JF mkongwe bado haijakusaidia kupevuka kiakili,watu tukiandika hivi kukushauri unaona kama hatukupendi na tunakuonea,mwisho wa siku tutaambulia matusi na kubezwa!
Na Mumeo nae huwa unachukua muda mrefu kama hivi Kumshauri awe 'anakuweka' vizuri na usiwe Unamsaliti mara kwa mara?

Kula Chuma hiki hapa chini tafadhali........

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Na Mumeo nae huwa unachukua muda mrefu kama hivi Kumshauri awe 'anakuweka' vizuri na usiwe Unamsaliti mara kwa mara?

Kula Chuma hiki hapa chini tafadhali........

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
Hakuna mahali popote nimekutukana katika ushauri wangu nilioutoa hapo juu,bado sijaelewa wewe jamaa unadumbuliwa na nini,Kwani kushauriwa ni kosa?,Kwanini unitukane na kunidharirisha?,Kwani ungesoma tu huo ushauri wangu kisha ukachukua mazuri na mabaya ukayaacha ungepungukiwa nini!.
 
Na Mumeo nae huwa unachukua muda mrefu kama hivi Kumshauri awe 'anakuweka' vizuri na usiwe Unamsaliti mara kwa mara?

Kula Chuma hiki hapa chini tafadhali........

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
Ikiwa hutaki watu wenye akili kama mimi kukomenti kwenye nyuzi zako hizi za Kipumbavu uwe unawaandikia ndugu zako kwenye kuta za vyoo vyenu vichafu ili kila wakiamka asubuhi wasome kisha wakenue meno halafu wakupigie makofi na kukupongeza kwa Ujuha na utahira wako!.

Vinginevyo,Kila ukiweka hapa Utahira wako nitakutandika mbele na nyuma hadi utoke unaniita "Mume wangu"!
 
Back
Top Bottom