Ili Jambo langu la Ijumaa likamilike naomba anayejua vinapopatikana Vifuatavyo aniambie upesi

Ili Jambo langu la Ijumaa likamilike naomba anayejua vinapopatikana Vifuatavyo aniambie upesi

Una
Hakuna mahali popote nimekutukana katika ushauri wangu nilioutoa hapo juu,bado sijaelewa wewe jamaa unadumbuliwa na nini,Kwani kushauriwa ni kosa?,Kwanini unitukane na kunidharirisha?,Kwani ungesoma tu huo ushauri wangu kisha ukachukua mazuri na mabaya ukayaacha ungepungukiwa nini!.
Unajisumbua bure.Huyo ni mlemavu wa akili anajulikana
 
Back
Top Bottom