Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa sana na ni kweli..Ukiona rais anayeingia madarkani anasema atakomesha wizi huyi ni mwongo wala ukweli haumo ndani yake.
Kwa ujumla wanasiasa wote ni waongo, hawastahili kuongoza nchi wala kijijiUkiona rais anayeingia madarkani anasema atakomesha wizi huyi ni mwongo wala ukweli haumo ndani yake.
Ukiona rais anayeingia madarkani anasema atakomesha wizi huyi ni mwongo wala ukweli haumo ndani yake.
Hata Mungu amesharuhusu wizi pale aliposema mwenye nacho ataongezewa na asiyenacho hata kile anachoamini anacho atanyanganywa (ataibiwa)
ContradictionAmri ya saba. USIIBE.
Hakuna contradiction hapo. Ni either akili yako ndogo au huna akili kabisa. Au labda unajitoa akili makusudi.Contradiction
Sasa alikuwa na maama gani kusema mwenye ambaye hana kitu hata kile alicho nacho atanyanganywa? Huoni huo ni wizi. Think beyondHakuna contradiction hapo. Ni either akili yako ndogo au huna akili kabisa. Au labda unajitoa akili makusudi.
Hapo inaongelewa utajiri wa imani na sio mali.Pale aliposema aliyenacho ataongezewa na asiyenacho hata kile anachodhani anacho basi atanyanganywa which means ataibiwa.
Mungu alitumia lugha laini sana kuwaambiwa kuwa tajiri au mwenye hela ana uhalali wa kumuibia asiyenacho
Mwenye akili na aelewe.
Hii ni tafsiri yako. Si ndiyo?Hapo inaongelewa utajiri wa imani na sio mali.
Kweli akili sio matkoHii ni tafsiri yako. Si ndiyo?
Kwani kuna mwenye haki miliki ya tafsiri?Akili sio matko
Unaongelea kitu gani? Mungu ni nani? Una ID yake na picha utuonyeshe?Pale aliposema aliyenacho ataongezewa na asiyenacho hata kile anachodhani anacho basi atanyanganywa which means ataibiwa.
Mungu alitumia lugha laini sana kuwaambiwa kuwa tajiri au mwenye hela ana uhalali wa kumuibia asiyenacho
Mwenye akili na aelewe.
Kwa macho ya kiroho , andiko Mathayo 13:12 lina fundisha kuwa na shukrani ( gratitude) kwa Mungu sio wizi kama unavyopotosha .Pale aliposema aliyenacho ataongezewa na asiyenacho hata kile anachodhani anacho basi atanyanganywa which means ataibiwa.
Mungu alitumia lugha laini sana kuwaambiwa kuwa tajiri au mwenye hela ana uhalali wa kumuibia asiyenacho
Mwenye akili na aelewe.