- Thread starter
- #21
We ndo umetafsiri hivyo. Si ndiyo? Kwanin mi sina haki ya kutafsiri?Kwa macho ya kiroho , andiko Mathayo 13:12 lina fundisha kuwa na shukrani ( gratitude) sio wizi kama unavyopotosha .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo umetafsiri hivyo. Si ndiyo? Kwanin mi sina haki ya kutafsiri?Kwa macho ya kiroho , andiko Mathayo 13:12 lina fundisha kuwa na shukrani ( gratitude) sio wizi kama unavyopotosha .
Context ya hii narrative haikuwa mali/fedha. Ni fundisho kuhusu talents/take initiative/right action vs indifference, lukewarmness, commission etc.Pale aliposema aliyenacho ataongezewa na asiyenacho hata kile anachodhani anacho basi atanyanganywa which means ataibiwa.
Mungu alitumia lugha laini sana kuwaambiwa kuwa tajiri au mwenye hela ana uhalali wa kumuibia asiyenacho
Mwenye akili na aelewe.
Umeongea nini mkuuContext ya hii narrative haikuwa mali/fedha. Ni fundisho kuhusu talents/take initiative/right action vs indifference, lukewarmness, commission etc.
Kuwa nacho=Kumiliki (mali), hii ni sheria ya asili (Mungu), kupingana nayo ni kujidanganya tu.Hapo inaongelewa utajiri wa imani na sio mali.
Kutafsiri ni kazi ya Mwenyezi-Mungu siyo ya kila mtu .We ndo umetafsiri hivyo. Si ndiyo? Kwanin mi sina haki ya kutafsiri?
Sasa we ni Mwenyezi munngu!!Kutafsiri ni kazi ya Mwenyezi-Mungu.
Pale aliposema aliyenacho ataongezewa na asiyenacho hata kile anachodhani anacho basi atanyanganywa which means ataibiwa.
Mungu alitumia lugha laini sana kuwaambiwa kuwa tajiri au mwenye hela ana uhalali wa kumuibia asiyenacho
Mwenye akili na aelewe.
Hadithi za biblia zinaendana na muktadha. Ile story ilihusu uwajibikaji wa wafanyakazi kwa boss wao, ni ishu ya motivation.Sasa alikuwa na maama gani kusema mwenye ambaye hana kitu hata kile alicho nacho atanyanganywa? Huoni huo ni wizi. Think beyond
Uwezo wako wa kufikiria umeishia hapoPale aliposema aliyenacho ataongezewa na asiyenacho hata kile anachodhani anacho basi atanyanganywa which means ataibiwa.
Mungu alitumia lugha laini sana kuwaambiwa kuwa tajiri au mwenye hela ana uhalali wa kumuibia asiyenacho
Mwenye akili na aelewe.
Na wewe umeongea nini mkuu?Umeongea nini mkuu
Huko ndio wizi wa mchana kweupe tena wanavamia hadi nchi nyingine na silaha kuiba, congo pale unadhani wale waasi nani anawafadhili,sudan, nigeria, middle eastHuu uzi nhauna ukweli. Nchi zilizo na maendeleo makubwa, wizi ni kwa kiwango kidogo sana. Umaskini ndio chanzo cha wizi na ukiukwaji za haki za wato.