Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nimesikitishwa sana na kiwango kibovu cha soka kilichoonyeshwa na timu hizi kwenye game ya jana , ni aibu sana kwa timu hizi zinazosemekana zinafundishwa na makocha wa kigeni .
ili soka la Tanzania lipande hizi timu ni lazima zihujumiwe na zitokomezwe , ni mfano mbaya sana kwa vijana wanaochipukia ambao kila kukicha wanawaza kuchezea timu hizi mbovu , kwa tamaa ya vijihela vidogo sana wanavyolipwa
Timu yangu ya Simba ndio iliyonisikitisha zaidi , ilishindwa kutumia pengo la red card ya Yanga kuongeza magoli , nadhani wachezaji wazee ndio tatizo , sasa kwa uchezaji ule ni kipi cha kujivunia kuwa na kocha eti wa kifaransa ? mbona hana tofauti na Jamhuri Kiwelu , Mziray , Kataraia Minziro au Sunday Kayuni ?
Game ya Simba VS Yanga siku hizi haina tofauti na Ndondo cup , ambapo sasa vituko vya nje ya uwanja vinaburudisha zaidi kuliko dimbani .
Poor Simba na Yanga !
ili soka la Tanzania lipande hizi timu ni lazima zihujumiwe na zitokomezwe , ni mfano mbaya sana kwa vijana wanaochipukia ambao kila kukicha wanawaza kuchezea timu hizi mbovu , kwa tamaa ya vijihela vidogo sana wanavyolipwa
Timu yangu ya Simba ndio iliyonisikitisha zaidi , ilishindwa kutumia pengo la red card ya Yanga kuongeza magoli , nadhani wachezaji wazee ndio tatizo , sasa kwa uchezaji ule ni kipi cha kujivunia kuwa na kocha eti wa kifaransa ? mbona hana tofauti na Jamhuri Kiwelu , Mziray , Kataraia Minziro au Sunday Kayuni ?
Game ya Simba VS Yanga siku hizi haina tofauti na Ndondo cup , ambapo sasa vituko vya nje ya uwanja vinaburudisha zaidi kuliko dimbani .
Poor Simba na Yanga !