Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,219
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tutaiona Taifa Stars ikicheza Euro CupKwa kweli upo sahii club za afrika zikipanda kiwango zitashiriki UEFA[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tutaiona Taifa Stars ikicheza Euro CupKwa kweli upo sahii club za afrika zikipanda kiwango zitashiriki UEFA[emoji1]
Matusi na uchawi ndio njia pekee ya masikini kujaribu kupambana na TajiriNyoko..
Kwani ulilazimishwa kuishabikia Simba mkuu?!Mechi ya jana ndio yangu ya mwisho kuhudhuria , sitapoteza muda kujihangaisha kwa mpira mbovu kiasi kile
Lini ulikuwepo?! Hii kauli ya urithi inanikera sana.Mkuu mpira siku hizi Bongo hakuna, mimi nimeacha kwenda uwanjani muda mrefu sana. Viwango vinavyoonyeshwa na wachezaji wetu kwenye ligi ya Premier enzi tunasoma sekondari ilikua ni viwango vya UMISETA,
Kwa sababu kama hukupata fursa ya kuona yaliyopita huwezi kushindanisha na yaliyokuwepo na ukaona kipi kina kasoroLini ulikuwepo?! Hii kauli ya urithi inanikera sana.
Kule kwetu Kyela ipo Kajunjumele boys , ni noma ! Juzi Tumeitandika Katumbasongwe bao 5-0Nani alikudanganya zikifa ndio tutapata mafanikio,nakushauri nenda kashabikie Tukuyu
Tuachie timu zetuKule kwetu Kyela ipo Kajunjumele boys , ni noma ! Juzi Tumeitandika Katumbasongwe bao 5-0