Ili kuinua kiwango cha soka Tanzania, Simba na Yanga zifutwe

Azam fc ilikuja vzuri kuwapa challenge hawa simba na yanga ila naona walikua wanatumia gharama nyingi kuliko uingizaji wa pesa, ila wangeendelea vile vile nahisi wangekua juu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira haupo kikanda mkuu na mpira ni one huge comunity mwishowe utataka kila kabila liwe represented na timu ya kikabila na hii ni 21 century

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu utakuta mleta mada eti naye anajiita msomi,mm nadhani hii ni kati ya mada ya kipumbavu kuwahi kuletwa humu.
 
Jiulize wakenya wenzetu wanatuacha hivi hivi lakini je wao bado wameukumbatia U Gor mahia na U fc Leopard hadi leo?
Mnafungua hadi tawi bungeni...yaani kila kitu siasa..tunachekesha...hii ww umeisikia wapi tena duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ukiwa mmoja wapo
 
Vip na wingereza wazifute Man united, Man sity, Asernal, na Livapool maana vinaua soka la nchi hiyo.
La hasha!...usichanganye mada hao wenzetu wanajitambua huwezi linganisha na vichekesho hivi vyetu,si unaona viwango?...usilinganishe kabisa zile clubs na hizi janja janja zetu,si uliwaona everton hapa?au Sevilla uliona kiwango kile na kilichowapata simba?
Huko ndio tunatakiwa tuelekee kama taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…