Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,373
- 5,100
Azam fc ilikuja vzuri kuwapa challenge hawa simba na yanga ila naona walikua wanatumia gharama nyingi kuliko uingizaji wa pesa, ila wangeendelea vile vile nahisi wangekua juu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app