Ili kuiongoza Mbeya kisiasa, ijue historia ya wasafwa wenyeji haswa wa Mbeya

Ili kuiongoza Mbeya kisiasa, ijue historia ya wasafwa wenyeji haswa wa Mbeya

Mbona hii thread inajirudia kwa heading tofauti?
 
Maelezo safi. Ila hicho kichwa ama kina dalili ya ukabila ama kuna ajenda ya kipumbavu unaikusudia...
 
Ndio maana nimekwambia ni story ndefu but kwa kifupi. ..
Shule yaani elimu na
Dini
Viliwafanya wao kutawanyika Tz nzima na kujulikana haraka.

Wazungu kihistoria walifikia usafwani, ila chifu wa wasafwa mzee Lyoto akaamuru kuchomwa Shule na makanisa mbeya yaani uyole ya Leo hasa maeneo ya ndundu na nsalaga na Wazungu wakaamua kwenda unyiha mbozi nako hawakupokelewa vyema wakasonga hadi ileje kwa wandali nako haaakupokelewa fresh Ndio wakaingia unyakyusani huko wakapokea mapokezi mazuri na wakaanza kulima na kujenga Shule na makanisa.

So ni story ndefu mno
Hapo ni mekupata kaka
 
Hivi kwa dunia ya leo ya hi-tech mambo kama haya yana faida gani kwa taifa? Naomba tu kujua.
 
Back
Top Bottom