Ili kuleta changamoto mpya chadema, Tundu lisu asigombee urais amuombe mwabukusi agombee

Ili kuleta changamoto mpya chadema, Tundu lisu asigombee urais amuombe mwabukusi agombee

Kwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.

Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Pumbavuu kabisa we utakuwa mnyakyusa
 
Kwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.

Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Mwambukusi awe mgombea binafsi wa urais wa JMT
 
downloadfile-2.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣hebu acheni mizaha yaani mwambukusi awe namba moja
Urais wa nchi yetu si wengi wanaoweza kuushindwa. Huyu mwamba ana sifa zote ni jasiri ana uchungu na nchi ni msomi hapendi maonezi ni mtu wa haki asie yumbishwa
 
Kwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.

Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Mimi nadhani Mbowe ndo agombee uraisi.
 
Hii nchi inaweza kuongozwa na yoyote hata kipofu
 
Tulionya kuwa Chadema inakaribia kuzimu, kimetoka kuwa chama cha kisiasa kuwa tawi la TLS. Kama mpaka mwabukusi anafikiriwa kuwa mgombea hii ni hatari.
 
Kwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.

Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Kura ndio zinazoamua kwenye uchaguzi wa nchi? Hizi chaguzi ambazo vyombo vya dola vinajionyesha wazi kuibeba ccm?
 
Kwa nn isiwe kwenye chama chenu uko CCM?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom