kingwendu is not a politicianKama urais ingekuwa kujulikana basi kingwendu angeshakuwa rais siku nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kingwendu is not a politicianKama urais ingekuwa kujulikana basi kingwendu angeshakuwa rais siku nyingi
Pumbavuu kabisa we utakuwa mnyakyusaKwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.
Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Sasa kama chura kiziwi ameweza Mwabukusi atashindwaje?🤣🤣🤣🤣🤣hebu acheni mizaha yaani mwambukusi awe namba moja
AnauafadhariSasa kama chura kiziwi ameweza Mwabukusi atashindwaje?
Mwambukusi awe mgombea binafsi wa urais wa JMTKwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.
Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Wacha ukabila mkuu,hayo ni mambo ya zama za giza.Pumbavuu kabisa we utakuwa mnyakyusa
Alipogombea kisarawe aligombea kama comedian au mwanasiasa?kingwendu is not a politician
Takataka
Urais wa nchi yetu si wengi wanaoweza kuushindwa. Huyu mwamba ana sifa zote ni jasiri ana uchungu na nchi ni msomi hapendi maonezi ni mtu wa haki asie yumbishwa🤣🤣🤣🤣🤣hebu acheni mizaha yaani mwambukusi awe namba moja
Swali la Msingi sanaKwani urais una maajabu gani ambayo mwabukusi hana
Mimi nadhani Mbowe ndo agombee uraisi.Kwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.
Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Kwa hiyo unataka rais asie na kabila hapa utampata wapi!!Pumbavuu kabisa we utakuwa mnyakyusa
Kura ndio zinazoamua kwenye uchaguzi wa nchi? Hizi chaguzi ambazo vyombo vya dola vinajionyesha wazi kuibeba ccm?Kwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.
Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Mbona Magu alikua na wengine wakawa wanasema kama wwe vile!! Never say Never!!🤣🤣🤣🤣🤣hebu acheni mizaha yaani mwambukusi awe namba moja
Mwambukusi is a new Magulification on the process!!Urais wa nchi yetu si wengi wanaoweza kuushindwa. Huyu mwamba ana sifa zote ni jasiri ana uchungu na nchi ni msomi hapendi maonezi ni mtu wa haki asie yumbishwa