Ili kuleta Umoja nchini Tanzania nashauri Mh. Rais awakutanishe Israel na Hamas na Hezbollah kuwapatanisha.

Ili kuleta Umoja nchini Tanzania nashauri Mh. Rais awakutanishe Israel na Hamas na Hezbollah kuwapatanisha.

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Naona kabisa kumekuwa na mpasuko nchini kuna ambao wameamua kushabikia au kuunga mkono Hamas na Hezbollah na wengine ambao wanaunga mkono Israel.

Huu mpasuko si mzuri kwa nchi. Inabidi kuangalia namna ambavyo Rais wetu anaweza kuwakutanisha hawa watu akawapatisha. Sababu ni rais anayesikilizwa sana duniani. Na ili kudumisha amani na mshikamano kwa nchi yetu.

Vita si jambo zuri hata kidogo na najua hali ambayo inatokea Palestine kwa sasa ule mji ni kama unasambaratishwa. Majengo mengi yame flatishwa. Mahandaki ambayo yalijengwa kwa gharama kubwa na muda mrefu yamebomolewa. Na viongozi kadhaa wa Hamas wameuawa.

Tunakumbuka hata viongozi wa Iran wameathiriwa na vita hivi. Kuna ambao wameuawa katika mazingira ya kutatanisha.
 
Naona kabisa kumekuwa na mpasuko nchini kuna ambao wameamua kushabikia au kuunga mkono Hamas na Hezbollah na wengine ambao wanaunga mkono Israel.

Huu mpasuko si mzuri kwa nchi. Inabidi kuangalia namna ambavyo Rais wetu anaweza kuwakutanisha hawa watu akawapatisha. Sababu ni rais anayesikilizwa sana duniani. Na ili kudumisha amani na mshikamano kwa nchi yetu.

Vita si jambo zuri hata kidogo na najua hali ambayo inatokea Palestine kwa sasa ule mji ni kama unasambaratishwa. Majengo mengi yame flatishwa. Mahandaki ambayo yalijengwa kwa gharama kubwa na muda mrefu yamebomolewa. Na viongozi kadhaa wa Hamas wameuawa.

Tunakumbuka hata viongozi wa Iran wameathiriwa na vita hivi. Kuna ambao wameuawa katika mazingira ya kutatanisha.
Bangi ni hatari kwa afya yako epuka kuvuta bangi asubuhi mkuu.
 
Au sio? Awaite Chamwino
Naona kabisa kumekuwa na mpasuko nchini kuna ambao wameamua kushabikia au kuunga mkono Hamas na Hezbollah na wengine ambao wanaunga mkono Israel.

Huu mpasuko si mzuri kwa nchi. Inabidi kuangalia namna ambavyo Rais wetu anaweza kuwakutanisha hawa watu akawapatisha. Sababu ni rais anayesikilizwa sana duniani. Na ili kudumisha amani na mshikamano kwa nchi yetu.

Vita si jambo zuri hata kidogo na najua hali ambayo inatokea Palestine kwa sasa ule mji ni kama unasambaratishwa. Majengo mengi yame flatishwa. Mahandaki ambayo yalijengwa kwa gharama kubwa na muda mrefu yamebomolewa. Na viongozi kadhaa wa Hamas wameuawa.

Tunakumbuka hata viongozi wa Iran wameathiriwa na vita hivi. Kuna ambao wameuawa katika mazingira ya kutatanisha.
 
Back
Top Bottom