Ili kumaliza matatizo mashariki ya Congo ni lazima kung'oa utawala wa Kitutsi Rwanda

Ili kumaliza matatizo mashariki ya Congo ni lazima kung'oa utawala wa Kitutsi Rwanda

Kweli tupu.jamaa wanajiona bora sana.kufanya kila linalo wezekana huko Rwanda wagawane madaraka wao kwanza ndio wageukie congo.ila nisichoelewa kwanini DRC hawatoi silaha kwa wahutu wakaenda kushambulia huko kwao.Maoni binafsi.
Congo iko dhaifu sana kijeshi na kisiasa. Na yote ni matokeo ya mipango ya rwanda ya kagame. Rwanda ina majasusi kibao kwenye serikalu na jeshi la congo. Drc wangekua wako vizuri wangewasaidia wanyarwamda kuondoa utawala wa watutsi wachache kijeshi. Wangeua ndege wawili kwa jiwe moja kwa sababu drc hawawezi kua salama kwa sababu lengo la rwanda la muda mrefu kwa mtazamo binafsi inaelekea ni kujitenga majimbo ya north and south kivu na kuundwa dola ya kitutsi ambayo itaungana baadae na rwanda.
Ukifuatilia vizuri utaona campaign za m23 na waasi wengine kama Adf ni kuwatisha kwa mauaji na kuharibu makazi yao mbari za kibantu ili wahame toka maeneo yao.
 
Mimi siamini unachosema. Kwanza hakina data or facts to say such things. Infact, naona Congo waache kulaumu rwanda kila wakati. Congo ina matatizo makubwa ya kikabila , ukanda na utawala kwa muda mrefu. Kwanza nchi ya congo waivunjr vunje maana hawatakaa kujitawala.
 
Najua watutsi kote eneo la maziwa makuu watapinga kwa nguvu ila huu ndio ukweli.
Ili kutatua tatizo la ukosefu wa amani mashariki ya congo ni lazima kwanza kuung'oa utawala wa kitutsi unaoongozwa na Kagame Rwanda.

Kwa hulka na desturi ya Watutsi ya kugombea kuhodhi wao madaraka ya kisiasa kwa lengo la kutawala uchumi licha ya kua ni wachache ndio kiini cha ukosefu amani eneo la maziwa makuu.

Ikiwa nchi za Afrika Mashariki zinataka kupata amani ya kweli congo lazima kwanza kuleta demokrasia Rwanda ili kuwakomboa wananchi dhidi ya utawala wa wachache.

Dola ya Kitutsi Rwanda ndio mzizi wa fitna. Rwanda wamekua mstari wa mbele kuunga mkono madai ya raia wa Congo Watutsi kutaka kupewa madaraka makubwa kwenye vyombo vya ulinzi na serikali kinyume na utaratibu wa kidemokrasia.

Rwanda ya Kagame inaelekea kutekeleza mpango wenye lengo la muda mrefu kwa kuungwa mkono na nchi za Magharibi zenye nia ya kupora madini ya Congo.

Lengo hilo sio jema kwa amani na mstakabali wa nchi za eneo la maziwa makuu Afrika.
Dawa ya watutsi na kumtia adabu kagame ni drc kukodi Wagner Group
 
In short: lazima kagame apinduliwe na auawe kabisa!
ukiua kwa upanga sharti nawe ufe kwa upanga!
 
Dawa yao ni serikali ya DRC itie mzigo Wagner PMC waingie kazini. Hayo makundi yote ya waasi ndio itakua mwisho wao. Kwa jinsi Wagner wanavyokichafua it take only 2 years kuweka kila kitu sawa.
 
Najua watutsi kote eneo la maziwa makuu watapinga kwa nguvu ila huu ndio ukweli.
Ili kutatua tatizo la ukosefu wa amani mashariki ya congo ni lazima kwanza kuung'oa utawala wa kitutsi unaoongozwa na Kagame Rwanda.

Kwa hulka na desturi ya Watutsi ya kugombea kuhodhi wao madaraka ya kisiasa kwa lengo la kutawala uchumi licha ya kua ni wachache ndio kiini cha ukosefu amani eneo la maziwa makuu.

Ikiwa nchi za Afrika Mashariki zinataka kupata amani ya kweli congo lazima kwanza kuleta demokrasia Rwanda ili kuwakomboa wananchi dhidi ya utawala wa wachache.

Dola ya Kitutsi Rwanda ndio mzizi wa fitna. Rwanda wamekua mstari wa mbele kuunga mkono madai ya raia wa Congo Watutsi kutaka kupewa madaraka makubwa kwenye vyombo vya ulinzi na serikali kinyume na utaratibu wa kidemokrasia.

Rwanda ya Kagame inaelekea kutekeleza mpango wenye lengo la muda mrefu kwa kuungwa mkono na nchi za Magharibi zenye nia ya kupora madini ya Congo.

Lengo hilo sio jema kwa amani na mstakabali wa nchi za eneo la maziwa makuu Afrika.
Kama vip CONGO wajiunge na NATO ili gaidi KAGAME aache kuwaua wacongo na kuiba madini.
 
Najua watutsi kote eneo la maziwa makuu watapinga kwa nguvu ila huu ndio ukweli.
Ili kutatua tatizo la ukosefu wa amani mashariki ya congo ni lazima kwanza kuung'oa utawala wa kitutsi unaoongozwa na Kagame Rwanda.

Kwa hulka na desturi ya Watutsi ya kugombea kuhodhi wao madaraka ya kisiasa kwa lengo la kutawala uchumi licha ya kua ni wachache ndio kiini cha ukosefu amani eneo la maziwa makuu.

Ikiwa nchi za Afrika Mashariki zinataka kupata amani ya kweli congo lazima kwanza kuleta demokrasia Rwanda ili kuwakomboa wananchi dhidi ya utawala wa wachache.

Dola ya Kitutsi Rwanda ndio mzizi wa fitna. Rwanda wamekua mstari wa mbele kuunga mkono madai ya raia wa Congo Watutsi kutaka kupewa madaraka makubwa kwenye vyombo vya ulinzi na serikali kinyume na utaratibu wa kidemokrasia.

Rwanda ya Kagame inaelekea kutekeleza mpango wenye lengo la muda mrefu kwa kuungwa mkono na nchi za Magharibi zenye nia ya kupora madini ya Congo.

Lengo hilo sio jema kwa amani na mstakabali wa nchi za eneo la maziwa makuu Afrika.
drc migogoro ipo hata kabla ya Kagame kwenda Rwanda ( sio tu kuwa rais ) watu weny asili ya ubaguz hawaish kubaguana Nyerere alisema ukiwabagua wazanzibar kesho utawabagua wazaramo kesho mtabaguana kwa ukoo kesho mtangia mpk kwen dini so ubaguz haush kwa kuruhus kuwatenganisha wawili , WAKONGO WANA MATATIZO NA TATIZO HILO LIKIISHA BASI WATAKUWA NA AMANI MILELE

RUSHWA , UBINAFS & UTENGANO
 
Kweli tupu.jamaa wanajiona bora sana.kufanya kila linalo wezekana huko Rwanda wagawane madaraka wao kwanza ndio wageukie congo.ila nisichoelewa kwanini DRC hawatoi silaha kwa wahutu wakaenda kushambulia huko kwao.Maoni binafsi.
hilo swali lako ndo jibu la kwann drc haina aman wala shida sio rwanda au kagame
 
Ila Rwanda ni kaichi kidogo kijografia sana ,why wanasumbua hivi...
 
Najua watutsi kote eneo la maziwa makuu watapinga kwa nguvu ila huu ndio ukweli.
Ili kutatua tatizo la ukosefu wa amani mashariki ya congo ni lazima kwanza kuung'oa utawala wa kitutsi unaoongozwa na Kagame Rwanda.

Kwa hulka na desturi ya Watutsi ya kugombea kuhodhi wao madaraka ya kisiasa kwa lengo la kutawala uchumi licha ya kua ni wachache ndio kiini cha ukosefu amani eneo la maziwa makuu.

Ikiwa nchi za Afrika Mashariki zinataka kupata amani ya kweli congo lazima kwanza kuleta demokrasia Rwanda ili kuwakomboa wananchi dhidi ya utawala wa wachache.

Dola ya Kitutsi Rwanda ndio mzizi wa fitna. Rwanda wamekua mstari wa mbele kuunga mkono madai ya raia wa Congo Watutsi kutaka kupewa madaraka makubwa kwenye vyombo vya ulinzi na serikali kinyume na utaratibu wa kidemokrasia.

Rwanda ya Kagame inaelekea kutekeleza mpango wenye lengo la muda mrefu kwa kuungwa mkono na nchi za Magharibi zenye nia ya kupora madini ya Congo.

Lengo hilo sio jema kwa amani na mstakabali wa nchi za eneo la maziwa makuu Afrika.
Akili zako sawa na za wa Congo! kumbe congo kuna raia wa kitusi! Kisekedi mbona anasema hawapo?
 
Back
Top Bottom