Ili Kumfunga Mkongo AS Vita Club Jumamosi kwa Mkapa ' Mtaalam ' wa Pemba kasema inabidi Kiongozi na Mshabiki mmoja Wafe!

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒUmekosa malezi mazuri ya wazazi na tatizo lilikuwa kulala chumba kimoja wewe na wazazi wako ukiwa mkubwa. Hili limekuathiri sana ndo maana hata unaandika mambo ya kitoto na unachojua ni matusi maana hayo umeyaona maisha yako yote.sikulaumu.

ila najua unahitaji sana ushauri wa kitaalamu mimi nmekutana sana na watu wa aina yako.ambao wameshuhudia wazazi wao wakifanya reproduction.huwa wanakuwa hawako sawa.wanachojua sana kwao ni matusi...yaani hata ukiwapa ushauri wanakuja na makontena ya matusi.wanakuwa so insecure and weak inside.πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hii hali ni mbaya... Nadhani ndo maana ili upate comfort unaamua tu kuanzisha thread ya kipumbavu ukiamini hili linakuweka katika watu wa maana.na ukikosolewa tayari unarudi kwenye maisha yako....matusi.hayo umefundishwa na wazazi na ndugu zako wa karibu.

Mi nakushauri ukue hayo mengine yaache yapite.unaweza pewa ushauri nasaha.😁😁😁😁😁😁

 
Ukweli na uwazi maendeleo hayana ushabikiπŸ˜€πŸ˜€
 
Hiyo biashara ya uchawi kongo mnaijua kweli izo issue??
Toka jana hawa jamaa wanaoneka sinza ,inaonekana wanaingia kimafungu hamjiulizi ni nini??
Uchawi ungekuwa unafanya kazi kwenye soccer mzee wangekuwa hawajafungwa!
 

Nitayazingatia haya yote pale tu utakaponihakikishia kuwa umeacha ' Ushoga / Utambaliziwaji ' wako na umeshapigwa ' Bomba ' ili kurudisha hali yako kuwa ya kawaida.

Cc: Frank Wanjiru
 
Kila la kheri mnyama, mwakilishi pekee wa afrika mashariki katika klabu bingwa afrika
Mkuu malizia ..Afrika Mashariki na Kati na moja ya Timu nne (Orlandona Pirates , Fc Platnum na Vita ) Kusini mwa Jangwa la Sahara zilizoingia 16 Bora ! acahana na Nigeria na Ivory Coast !
 
Mkuu malizia ..Afrika Mashariki na Kati na moja ya Timu nne (Orlandona Pirates , Fc Platnum na Vita ) Kusini mwa Jangwa la Sahara zilizoingia 16 Bora ! acahana na Nigeria na Ivory Coast !
Kweli mkuu nilisahau hiyo sifa nyingine iliyotukuka ya mnyama taifa kubwa nguvu moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…