Ili kuokoa Bandari yetu isitekwe na Dubai, tuanzie hapa

Ili kuokoa Bandari yetu isitekwe na Dubai, tuanzie hapa

Dk Blandina Kilama na mswahili mwingine lakini hii ni kazi ya matapeli kama kina boss wa yanga au rost tamu hawa wanaitwa Gold mafias kazi yao ku penetrate into country leaders na kupitisha ajenda zao. Waweza kukuta kwenye watu wa kati wa kuwaleta DP world hata gavan wa mombasa anahusika
Dkt Blandina na wenzake sidhani kama ni washauri bali wanafuata maelekezo
 
Dk Blandina Kilama na mswahili mwingine lakini hii ni kazi ya matapeli kama kina boss wa yanga au rost tamu hawa wanaitwa Gold mafias kazi yao ku penetrate into country leaders na kupitisha ajenda zao. Waweza kukuta kwenye watu wa kati wa kuwaleta DP world hata gavan wa mombasa anahusika
You mean former governor Alli Joho sio?
 
Hivi watu hawa watatu walioko huko juu kabisa, si Wali kuwepo kwenye hotuba hii ya mwendazake?? Na haya maneno si Waliyasikia?

Leo hii wamekumbwa na nini jamani!!! au kama Kuna mtu wa karibu Yao si awapelekee Tena wa isikilizee upya hii hotuba harafu watufafanulie juu ya hii dipi wadi na tipiei, ndoa Yao infungwaje, na ni ya kikiristo yaani hadi mmoja atangulie mbele ya haki au ya kiislamu ya hadi nne na wakati wowote?
 
Back
Top Bottom