Hivi watu hawa watatu walioko huko juu kabisa, si Wali kuwepo kwenye hotuba hii ya mwendazake?? Na haya maneno si Waliyasikia?
Leo hii wamekumbwa na nini jamani!!! au kama Kuna mtu wa karibu Yao si awapelekee Tena wa isikilizee upya hii hotuba harafu watufafanulie juu ya hii dipi wadi na tipiei, ndoa Yao infungwaje, na ni ya kikiristo yaani hadi mmoja atangulie mbele ya haki au ya kiislamu ya hadi nne na wakati wowote?