Ili kuondoa tozo Serikali ifanye yafuatayo

Ili kuondoa tozo Serikali ifanye yafuatayo

Ni kupunguza matumizi ya serikali by 50% ikiwezekana. Mfano wa hawa jamaa wanatutoza ili wao wale.
1. Msafara wa Rais upungue by 50%
2. Viongozi katika msafara wachangie magari.
3. Simamisha ununuzi wa magari mapya kwa miaka 5.
4. Gari jipya la Waziri wa fedha lipigwe mnada arudie gari lake la zamani.
5. Toa ma V8 yote na kupeleka Com-works (idara ya ujenzi na usafiri). Kiongozi atahitaji gari kulingana na safari yake. Baada ya hapo linarudi depot.
6. Wakiwa maeneo yao ya kazi wanatumia staff cars au za binafsi. Hapa kunakuwa hakuna V8 ya mtu. Huu utaratibu ulikuwepo, lakini ulaji ukauondoa na ndo maana tuko na Tozo kila kona.
 
Yafuatayo ni mapendekezo yangu yatayobana matumizi na/ama kuibua/kuongeza makusanyo.

1. Wabunge walipwe sh 45,000/= kwa siku badala ya Tsh 300,000/= kama sitting allowance. Hivyo serikali itaokoa Tsh 255,000/= × 395 (idadi ya wabunge ) kwa siku sawa na TSh 100,725,000/=kwa siku.

2. Tabia ya watumishi wa umma kifanyia semina kwenye mahoteli ife. Wafanyie kwenye majengo ya serikali kama vile mabwalo ya shule, mdarasa, ofisi za umma na kumbi za mikutano za majengo yao.

3. Semina zinazomtaka mtumishi kusafiri zikome badala yake zifanyike kwa teknonolojia. Mfano ZOOM, Skipe, Space, n.k

4. Kodi ya mifugo
(a) Ng'ombe mmoja alipiweTsh 12,000 kwa mwaka (1000 kwa mwezi).

(b) Mbuzi, kondoo, punda na mbwa kila mmoja alipiwe Tsh 6,000/= kwa mwaka (Tsh 500 kwa mwezi)

(c) Ndege (kuku, bata, njiwa) kila mmoja alipiwe Tsh 2,400/= kwa mwaka. Sawa na TSh 200/= kwa mwezi

5. Mashamba. Kila mkulima alipie Tsh 5000 kwa kila ekari anayolima kwa mwaka. Hapa kwa. Msaada wa maafisa ugani ambao wamepewa pikipiki inawezekana.

6. Sanaa. Kila single ya muziki (bongo flava, gospel, kaswida,) ilipiwe Tsh 100,000/ na kila part ya movie ilipiwe Tsh 50,000/=. Cosota na Basata wasaidie hapa.

7. Football. Wachezaji walipie 8% (indigenous) na 12% (foreigners) ya mapato yao kama kodi.

KARIBUNI kwa mawazo zaidi ama maboresho
Mapemdekezo yangu
1. Pamoja na kupunguza posho pia kazi ya ubunge iwe ya kujitolea serikali itagharamia posho na malazi kipindi cha mikutano ya bunge mikutano itakapoisha wabunge wote wanarudi mtaani kuendelea na shughuli zao zinazowaingizia kipato. Hakuna mishahara wala kiinua mgongo cha baada ya miaka mitano

2 and 3. Seminar za watumishi hotelini na zinazohitaji kusafiri ziachwe maana pesa inaingia mtaani inaboost uchumi yaani inaongeza mzunguko wa pesa mtaani

6. Kwenye sanaa makato yawe kwa asilimia kuliko kuweka kiasi maalumu maana mapato ya wasanii ni tofauti pia utozaji uzingatie status ya msanii husika tukisema umlenge kila mtu hapo itakua kifo cha wasanii underground

7. Kodi za wachezaji wa kigeni na waajiriwa wengine wote ambao sio raia ziongezwe maradufu ikiwezekana iwe hata 20% hawa jamaa wanavuna pesa nyingi sana.

Mapendekezo mengine hapo juu nafikiri yanaweza kubaki kama yalivyo
 
Mapemdekezo yangu
1. Pamoja na kupunguza posho pia kazi ya ubunge iwe ya kujitolea serikali itagharamia posho na malazi kipindi cha mikutano ya bunge mikutano itakapoisha wabunge wote wanarudi mtaani kuendelea na shughuli zao zinazowaingizia kipato. Hakuna mishahara wala kiinua mgongo cha baada ya miaka mitano

2 and 3. Seminar za watumishi hotelini na zinazohitaji kusafiri ziachwe maana pesa inaingia mtaani inaboost uchumi yaani inaongeza mzunguko wa pesa mtaani

6. Kwenye sanaa makato yawe kwa asilimia kuliko kuweka kiasi maalumu maana mapato ya wasanii ni tofauti pia utozaji uzingatie status ya msanii husika tukisema umlenge kila mtu hapo itakua kifo cha wasanii underground

7. Kodi za wachezaji wa kigeni na waajiriwa wengine wote ambao sio raia ziongezwe maradufu ikiwezekana iwe hata 20% hawa jamaa wanavuna pesa nyingi sana.

Mapendekezo mengine hapo juu nafikiri yanaweza kubaki kama yalivyo
Hizo kodi ni nyingi serikali iweke tu kodi ya travel levy, kila abilia aendapo mkoa alipie 500@ bus10k daladala kila abilia 200@ dala dala 2k abilia wamajoni 3k wa ndege 10k@ boda na bajaj 100 kila abilia askari barabarani wapewe machine za kikata resits na kuakikisha kila mtu analipia, hizo pesa zitatasha vizuri hamna haja tozo nyingine.........hayo ni mawazo tu.
 
Hizo kodi ni nyingi serikali iweke tu kodi ya travel levy, kila abilia aendapo mkoa alipie
Hii mkuu iko jikoni inaandaliwa. Itaitwa "kodi ya utalii wa ndani". Wanataka kila abiria atozwe 5% ya nauli yake kwa kila safari atakayofanya toka mkoa mmoja kwenda mwingine.

Kuna kikosi kazi kinamalizia maandalixi ya kodi hii . Ikikamilika tutajuzwa.
 
Hii mkuu iko jikoni inaandaliwa. Itaitwa "kodi ya utalii wa ndani". Wanataka kila abiria atozwe 5% ya nauli yake kwa kila safari atakayofanya toka mkoa mmoja kwenda mwingine.

Kuna kikosi kazi kinamalizia maandalixi ya kodi hii . Ikikamilika tutajuzwa.
Sasa wale watakae kuenda kwa ajili ya msiba au wanao rudisha watoto mashuleni itakua je?.....hapo nchi itakua imeisha duh
 
Yafuatayo ni mapendekezo yangu yatayobana matumizi na/ama kuibua/kuongeza makusanyo.

1. Wabunge walipwe sh 45,000/= kwa siku badala ya Tsh 300,000/= kama sitting allowance. Hivyo serikali itaokoa Tsh 255,000/= × 395 (idadi ya wabunge ) kwa siku sawa na TSh 100,725,000/=kwa siku.

2. Tabia ya watumishi wa umma kifanyia semina kwenye mahoteli ife. Wafanyie kwenye majengo ya serikali kama vile mabwalo ya shule, mdarasa, ofisi za umma na kumbi za mikutano za majengo yao.

3. Semina zinazomtaka mtumishi kusafiri zikome badala yake zifanyike kwa teknonolojia. Mfano ZOOM, Skipe, Space, n.k

4. Kodi ya mifugo
(a) Ng'ombe mmoja alipiweTsh 12,000 kwa mwaka (1000 kwa mwezi).

(b) Mbuzi, kondoo, punda na mbwa kila mmoja alipiwe Tsh 6,000/= kwa mwaka (Tsh 500 kwa mwezi)

(c) Ndege (kuku, bata, njiwa) kila mmoja alipiwe Tsh 2,400/= kwa mwaka. Sawa na TSh 200/= kwa mwezi

5. Mashamba. Kila mkulima alipie Tsh 5000 kwa kila ekari anayolima kwa mwaka. Hapa kwa. Msaada wa maafisa ugani ambao wamepewa pikipiki inawezekana.

6. Sanaa. Kila single ya muziki (bongo flava, gospel, kaswida,) ilipiwe Tsh 100,000/ na kila part ya movie ilipiwe Tsh 50,000/=. Cosota na Basata wasaidie hapa.

7. Football. Wachezaji walipie 8% (indigenous) na 12% (foreigners) ya mapato yao kama kodi.

KARIBUNI kwa mawazo zaidi ama maboresho
Wabunge wote wafutwe, namaanisha nchi iendeshwe bila wabunge, maana mpaka Sasa wabungu wapo ila kila kitu ni ndyo, Sasa ya nin wabunge wawepo nakati hata wasipokuwepo kila kitu wanaunga mkono hoja na kupitishwa kwa sheria mbovu!
 
Wabunge wote wafutwe, namaanisha nchi iendeshwe bila wabunge, maana mpaka Sasa wabungu wapo ila kila kitu ni ndyo, Sasa ya nin wabunge wawepo nakati hata wasipokuwepo kila kitu wanaunga mkono hoja na kupitishwa kwa sheria mbovu!
Hapo mpaka katiba ibedilishwe na wakibadili katiba ni wa bunge, na hawewezi kujihukumu wenyewe hilo haliwezakani
 
Mapemdekezo yangu
1. Pamoja na kupunguza posho pia kazi ya ubunge iwe ya kujitolea serikali itagharamia posho na malazi kipindi cha mikutano ya bunge mikutano itakapoisha wabunge wote wanarudi mtaani kuendelea na shughuli zao zinazowaingizia kipato. Hakuna mishahara wala kiinua mgongo cha baada ya miaka mitano

2 and 3. Seminar za watumishi hotelini na zinazohitaji kusafiri ziachwe maana pesa inaingia mtaani inaboost uchumi yaani inaongeza mzunguko wa pesa mtaani

6. Kwenye sanaa makato yawe kwa asilimia kuliko kuweka kiasi maalumu maana mapato ya wasanii ni tofauti pia utozaji uzingatie status ya msanii husika tukisema umlenge kila mtu hapo itakua kifo cha wasanii underground

7. Kodi za wachezaji wa kigeni na waajiriwa wengine wote ambao sio raia ziongezwe maradufu ikiwezekana iwe hata 20% hawa jamaa wanavuna pesa nyingi sana.

Mapendekezo mengine hapo juu nafikiri yanaweza kubaki kama yalivyo
Hilo pendekezo namba moja ni zuri sana kazi ya ubunge iwe ya kujitolea ni matumizi mabaya ya raslimali fedha kumlipa mbunge kwa eti kwa sababu ya kuhudhuria vikao wakati ndio wajibu wake wa kwanza wa kazi aliyoiomba kwa wapiga kura wake isitoshe kuna haja gani ya kumpata mbunge mshahara na posho ya ubunge wakati si kipindi cha bunge .!Na hili tuliangalie
 
Tumelipokea wazo lako ni zuri sana, Naomba Waziri Mwigulu wewe ni Daktari wa uchumi ukae na team yako mlitazame na hili.....
 
Pia Ile garden pale posta ya zamani watu wakikaa pale au kuangalia tu watoe tozo angalau buku 3
 
Yafuatayo ni mapendekezo yangu yatayobana matumizi na/ama kuibua/kuongeza makusanyo.

1. Wabunge walipwe sh 45,000/= kwa siku badala ya Tsh 300,000/= kama sitting allowance. Hivyo serikali itaokoa Tsh 255,000/= × 395 (idadi ya wabunge ) kwa siku sawa na TSh 100,725,000/=kwa siku.

2. Tabia ya watumishi wa umma kifanyia semina kwenye mahoteli ife. Wafanyie kwenye majengo ya serikali kama vile mabwalo ya shule, mdarasa, ofisi za umma na kumbi za mikutano za majengo yao.

3. Semina zinazomtaka mtumishi kusafiri zikome badala yake zifanyike kwa teknonolojia. Mfano ZOOM, Skipe, Space, n.k

4. Kodi ya mifugo
(a) Ng'ombe mmoja alipiweTsh 12,000 kwa mwaka (1000 kwa mwezi).

(b) Mbuzi, kondoo, punda na mbwa kila mmoja alipiwe Tsh 6,000/= kwa mwaka (Tsh 500 kwa mwezi)

(c) Ndege (kuku, bata, njiwa) kila mmoja alipiwe Tsh 2,400/= kwa mwaka. Sawa na TSh 200/= kwa mwezi

5. Mashamba. Kila mkulima alipie Tsh 5000 kwa kila ekari anayolima kwa mwaka. Hapa kwa. Msaada wa maafisa ugani ambao wamepewa pikipiki inawezekana.

6. Sanaa. Kila single ya muziki (bongo flava, gospel, kaswida,) ilipiwe Tsh 100,000/ na kila part ya movie ilipiwe Tsh 50,000/=. Cosota na Basata wasaidie hapa.

7. Football. Wachezaji walipie 8% (indigenous) na 12% (foreigners) ya mapato yao kama kodi.

KARIBUNI kwa mawazo zaidi ama maboresho
Eti e,
Naa inawezekana;kama mfanyakazi analipia 9% ya mshahara wake,tena kajisomesha,anatumia ujuzi wake ili abaki/asiharibu kazi.Basi ni vema na haki hao wengine pia walipie kazi zao kuliko kuwatoza watu katika kile kidogo walichobakiza!!
 
Eti e,
Naa inawezekana;kama mfanyakazi analipia 9% ya mshahara wake,tena kajisomesha,anatumia ujuzi wake ili abaki/asiharibu kazi.Basi ni vema na haki hao wengine pia walipie kazi zao kuliko kuwatoza watu katika kile kidogo walichobakiza!!
Yaah! Kama msomi analipia (elimu + mshahara) wake. mwenye nyumba analipia (ardhi/kiwanja + nyumba) yake. Kwann hao wengine wasilipe??
 
Back
Top Bottom