- Thread starter
- #41
Asantee (in Anna Makinda's voice).Kwani mimi ni nani mpaka nipinge!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asantee (in Anna Makinda's voice).Kwani mimi ni nani mpaka nipinge!
Asante mkuu kwa pongezi.Kongole Mkuu
"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
Nenda ofisini kwa Mwigulu umweleze hayaYafuatayo ni mapendekezo yangu yatayobana matumizi na/ama kuibua/kuongeza makusanyo.
1. Wabunge walipwe sh 45,000/= kwa siku badala ya Tsh 300,000/= kama sitting allowance. Hivyo serikali itaokoa Tsh 255,000/= × 395 (idadi ya wabunge ) kwa siku sawa na TSh 100,725,000/=kwa siku.
2. Tabia ya watumishi wa umma kifanyia semina kwenye mahoteli ife. Wafanyie kwenye majengo ya serikali kama vile mabwalo ya shule, mdarasa, ofisi za umma na kumbi za mikutano za majengo yao.
3. Semina zinazomtaka mtumishi kusafiri zikome badala yake zifanyike kwa teknonolojia. Mfano ZOOM, Skipe, Space, n.k
4. Kodi ya mifugo
(a) Ng'ombe mmoja alipiweTsh 12,000 kwa mwaka (1000 kwa mwezi).
(b) Mbuzi, kondoo, punda na mbwa kila mmoja alipiwe Tsh 6,000/= kwa mwaka (Tsh 500 kwa mwezi)
(c) Ndege (kuku, bata, njiwa) kila mmoja alipiwe Tsh 2,400/= kwa mwaka. Sawa na TSh 200/= kwa mwezi
5. Mashamba. Kila mkulima alipie Tsh 5000 kwa kila ekari anayolima kwa mwaka. Hapa kwa. Msaada wa maafisa ugani ambao wamepewa pikipiki inawezekana.
6. Sanaa. Kila single ya muziki (bongo flava, gospel, kaswida,) ilipiwe Tsh 100,000/ na kila part ya movie ilipiwe Tsh 50,000/=. Cosota na Basata wasaidie hapa.
7. Football. Wachezaji walipie 8% (indigenous) na 12% (foreigners) ya mapato yao kama kodi.
KARIBUNI kwa mawazo zaidi ama maboresho
Chawa wake watanitoa nduki mkuu. Tatizo la viongozi wa Afrika wanadhani ukishakuwa na cheo basi unapata na akili kubwa. Wanasahau kuwa cheo hakibadilishi akili.Nenda ofisini kwa Mwigulu umweleze haya
Naunga hoja kwa 100%Yafuatayo ni mapendekezo yangu yatayobana matumizi na/ama kuibua/kuongeza makusanyo.
1. Wabunge walipwe sh 45,000/= kwa siku badala ya Tsh 300,000/= kama sitting allowance. Hivyo serikali itaokoa Tsh 255,000/= × 395 (idadi ya wabunge ) kwa siku sawa na TSh 100,725,000/=kwa siku.
2. Tabia ya watumishi wa umma kifanyia semina kwenye mahoteli ife. Wafanyie kwenye majengo ya serikali kama vile mabwalo ya shule, mdarasa, ofisi za umma na kumbi za mikutano za majengo yao.
3. Semina zinazomtaka mtumishi kusafiri zikome badala yake zifanyike kwa teknonolojia. Mfano ZOOM, Skipe, Space, n.k
4. Kodi ya mifugo
(a) Ng'ombe mmoja alipiweTsh 12,000 kwa mwaka (1000 kwa mwezi).
(b) Mbuzi, kondoo, punda na mbwa kila mmoja alipiwe Tsh 6,000/= kwa mwaka (Tsh 500 kwa mwezi)
(c) Ndege (kuku, bata, njiwa) kila mmoja alipiwe Tsh 2,400/= kwa mwaka. Sawa na TSh 200/= kwa mwezi
5. Mashamba. Kila mkulima alipie Tsh 5000 kwa kila ekari anayolima kwa mwaka. Hapa kwa. Msaada wa maafisa ugani ambao wamepewa pikipiki inawezekana.
6. Sanaa. Kila single ya muziki (bongo flava, gospel, kaswida,) ilipiwe Tsh 100,000/ na kila part ya movie ilipiwe Tsh 50,000/=. Cosota na Basata wasaidie hapa.
7. Football. Wachezaji walipie 8% (indigenous) na 12% (foreigners) ya mapato yao kama kodi.
KARIBUNI kwa mawazo zaidi ama maboresho