Ili kuondoa tozo Serikali ifanye yafuatayo

Ukichukua Kodi kutoka kwa wanyonge Yaani wakulima na Wafugaji alafu uende kununulia vieti 8 . yaani utakuwa unapunguza siku zako za kuishi huwezi piga miaka 2 utrest in peace.Machozi ya mnyonge ni mabaya saaana.
 
Kongole Mkuu

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
Asante mkuu kwa pongezi.

Ni matamanio ya kila mpenda haki kuona rasimu ya Warioba ikibarikiwa na kuwa katiba. Lkn amini, aminii nakuambia hili halitatokea mpk TUCHAPANE kwanza.
 
Nenda ofisini kwa Mwigulu umweleze haya
 
Nenda ofisini kwa Mwigulu umweleze haya
Chawa wake watanitoa nduki mkuu. Tatizo la viongozi wa Afrika wanadhani ukishakuwa na cheo basi unapata na akili kubwa. Wanasahau kuwa cheo hakibadilishi akili.
 
Hayo yote yanawezekana endapo sisi raia wakawaida tukiamka achana na hawa wanaojiita wanasiasa wanajali koo zao tu wakati sisi tunaumia kila uchwao. Inapaswa tuamke muda umefika sasa, sio kila siku tunalalamika tu. Kila jambo lina mwisho wake, hao kenge mwisho wao umefika. Tudai katiba mpya kwa nguvu zote ikibidi tuwapelekee moto wasitake kutuzoea kabisa.
 
Naunga hoja kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…