Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kukosekana Kwa sheria inayotoa mamlaka ya kuteua kunawafanya watendaji WA Ofisi ya Rais kutokutumia nguvu Sana kutekeleza majukumu yao.
Endapo Rais atamtaka Zuhura Yunusu kuweka katika press zake za kuteua na kutengua vifungu vya Sheria au katiba basi washauri WA sheria ofisini kwake Watakuwa na muda mrefu wa kusoma kitu ambacho naamini akifanyiki Kwa sasa.
Kenya kila kazi ya Rais anayofanya inakuwa questioned kwa mujibu wa katiba na Sheria na hivyo analazimika kuzungukwa na magwiji wa bobezi katika kufikia zilipo mamlaka.
Ni mtizamo wangu kwamba Zuhura akiwa nI kijana anapaswa sasa kupanga safu yake alete mabadiliko kupunguza hoja mitandaoni zakukosoa seriousnes ya tengua tengua.
Endapo utaratibu huu utafuatwa basi suprise zitapungua Kwa Sababu uteuzi utahusisha vyombo vingi lakini consultation na vetting zakutosha.
Naomba kuwasilisha.
Endapo Rais atamtaka Zuhura Yunusu kuweka katika press zake za kuteua na kutengua vifungu vya Sheria au katiba basi washauri WA sheria ofisini kwake Watakuwa na muda mrefu wa kusoma kitu ambacho naamini akifanyiki Kwa sasa.
Kenya kila kazi ya Rais anayofanya inakuwa questioned kwa mujibu wa katiba na Sheria na hivyo analazimika kuzungukwa na magwiji wa bobezi katika kufikia zilipo mamlaka.
Ni mtizamo wangu kwamba Zuhura akiwa nI kijana anapaswa sasa kupanga safu yake alete mabadiliko kupunguza hoja mitandaoni zakukosoa seriousnes ya tengua tengua.
Endapo utaratibu huu utafuatwa basi suprise zitapungua Kwa Sababu uteuzi utahusisha vyombo vingi lakini consultation na vetting zakutosha.
Naomba kuwasilisha.